Dawa za kulevya: Viongozi wa dini sasa wajisalimisha; Wakiri kufanya biashara hiyo muda mrefu

Sasa udini hapa upo wapi? JK anajaribu kuwapa heshima hao viongozi wa dini ili wasiaibike ktk jamii. Kama akiwataja majina unafikiri hali yao itakuwaje? ni aibu tupu kwa dini hiyo.

Kwamba "Viongozi wa dini" wanajisalimisha na wanakubalina na kamanda wa Polisi wa Mkoa wasitajwe majina!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Na Chombo hicho cha dola kinakubaliana nao wasitajwe hao wauza madawa ya kulevya!!!!!. Kesho Chombo hicho hicho kitataka ushirikiano wa wananchi kwa maana ya kutaja waarifu! ili iweje kama si kuwatajia waarifu watu waliotoa taarifa.Inasikitisha!!.

Kwanza hawa hawakujisalimisha hivyo hakukuwa na sababu ya kutokuwataja na kutowafikisha mahakamani. Mkuu wa Nchi alishakuwa na taarifa nao na bila shaka ana orodha yao ndo maana alitoa tamko kuhusiana na "viongozi wa dini" kujihusisha na madawa ya kulevya.

Baada ya watu kusubiri muda mrefu, tunakuja kuambiwa viongozi wa Pentecostal....sijui na nini...!!!!! Wale ni wahuni wameandaliwa
 
Aisee kumbe hizi habari za viongozi wa dini kijihusisha na madawa ya kulevywa ni za kweli?? Sasa JK alikuwa anaogopa nn kuwataja? Halafu yule kionozi wa dini aliyempinga JK hadharani kwamba awataje la sivyo amejivunjia heshima alikuwa ana maana gani? Kaaazi kwelikweli!!!!
Kwani nani kawataja...???? Kuropoka na kutotaja ushahidi ndo kawaida yao......................
1. List ya waharifu wa bandari alisema anayo............... Lakini hakuwataja....................
2. Waliorudisha fedha za EPA anawajuwa..............Lakini hadi leo ni siri yake.................
3. Wauza madawa anawajuwa .................. Lakini si yeye wala polisi waliowataja................... MBONA KASUSULA NA SALA SIMBA ULANGA WALIWATAJA............................??????

4. Mazishi ya BALALI.......... Siri yao..............hakuna ushahidi wa video wala picha mnato........................

WANAFANYA HIVYO WAKIJUWA WATU KAMA NYIE KWA USHABIKI WENU WA KISIASA NA KIDINI NA UKABILA NA UMKOA NA UKATA NA UTARAFA NA ....... NA,........ NA...... MATAINGIA KICHWA KICHWA KUSAPOTI VITU MSIVYOVIJUWA.

We kumbuka.............. hata hao wanaooneka ni magamba kwa chama cha kijani............. HAKUNA HATA MMOJA ALIYEWAHI KUSIMAMA HADHARANI NA KUTAMKA ...........RA NI FISADI, EL NI FISADI EC NI FISADI.........Ni unafiki wa kinauye tu kupingana idadi ya siku zilizotolewa kwa hao kutoa huku haijulikani nani wa kujitoa..............
 
Litakuwa ni jambo la kusikitisha sana kama kweli hao watu hawatatajwa hadharani.jambo ambalo litafanya vita dhidi ya wazungu waunga kuwa haina maana kabisa.nibora hiyo kamati ifutwe.

Kwa kweli haina maana kusema kuna viongozi wa dini wanajihusisha na madawa ya kulevya halafu hawatajwi wao wala madhehebu yao, kwani wao ni nani hata wastajwe? mbona Biblia imewataja kina mfalme Daudi pale walipotenda dhambi?
 
Litakuwa ni jambo la kusikitisha sana kama kweli hao watu hawatatajwa hadharani.jambo ambalo litafanya vita dhidi ya wazungu waunga kuwa haina maana kabisa.nibora hiyo kamati ifutwe.

By Denis Chinula: Hata mimi nasema bora hiyo kamati ifutwe, alitajwa mfalme daudi alipoanguka dhambini sasa wao ni nani hata wasitajwe?
 
KAMA HAWATATAJWA NITAENDELEA KUAMINI TUNALAZIMISHIWA KAULI YA jk

Naomba niyakopi mawazo yako. Nayaunga mkono. Mfano tusije ingizwa mkenge na kupewa majina feki. Mnakumbuka kesi iliyomalizika marekani ya casey anthony aliyetuhumiwa kumwua mwanae. Mwanzoni mtoto alipokuwa haonekani akiulizwa mtoto yuko wapi anajibu yupo kwa zanny (kama sijakosea) ambaye ni mtu asiyekuwapo. So tuangalie nasi tusije tajiwa kina zanny wachungaji kibao ili mradi tu kuaminisha watu kuwa wapo wachungaji wa dizaini hizo.
 
Kwamba "Viongozi wa dini" wanajisalimisha na wanakubalina na kamanda wa Polisi wa Mkoa wasitajwe majina!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Na Chombo hicho cha dola kinakubaliana nao wasitajwe hao wauza madawa ya kulevya!!!!!. Kesho Chombo hicho hicho kitataka ushirikiano wa wananchi kwa maana ya kutaja waarifu! ili iweje kama si kuwatajia waarifu watu waliotoa taarifa.Inasikitisha!!.

Kwanza hawa hawakujisalimisha hivyo hakukuwa na sababu ya kutokuwataja na kutowafikisha mahakamani. Mkuu wa Nchi alishakuwa na taarifa nao na bila shaka ana orodha yao ndo maana alitoa tamko kuhusiana na "viongozi wa dini" kujihusisha na madawa ya kulevya.

Baada ya watu kusubiri muda mrefu, tunakuja kuambiwa viongozi wa Pentecostal....sijui na nini...!!!!! Wale ni wahuni wameandaliwa

Sasa unachobisha ni nini? wauza madawa siku zote ni wahuni hata kama ni viongozi wa dini. Wakishaanza kuuza madawa ya kulevya tu, wanakuwa ktk group moja.
Majina ya hao jamaa kutotajwa ni heshima kwa dini yao.
 
Ivi wanajua kuficha majina ya hawa watu ni dhambi?
Wanaendelea kupotosha mamia ya watz na mahubiri yao backed up by magic power eti wanaponya!
Mna bahati nowdays mungu mpole sana otherwise angeshusha ghalika
 
Dini ziko nyingi ata uchawi dini na zina viongoz wake wakiwemo hao wauza madawa bt pia kuna watumishi waaminifu wa mungu muumba mbingu na nch ambao utawatambua kwa matunda yao..Msichanganye mambo.
 
Dini ziko nyingi ata uchawi dini na zina viongoz wake wakiwemo hao wauza madawa bt pia kuna watumishi waaminifu wa mungu muumba mbingu na nch ambao utawatambua kwa matunda yao..Msichanganye mambo.

Hao watumishi ndiyo wanauza madawa ya kulevya nchini. Wao walitakiwa kulisadia Taifa ktk kupambana na maovu, lakini hii ni aibu kwa hawa viongozi wa dini kufanya biashara ya madawa ya kulevya.
 
Well, Wakati wa Nyerere kulikuwa hakuna dini nyingi kama sasa hivi especially PENTECOSTE this is a group of christian religion in which is new in our country and to survive some of the members are involved in those kind of things; but it is not all christian religion, established those established long time ago like Catholics, Lutheran etc - WE HAVE TO BE VERY CAREFULL

Religious factions will go on imposing their will on others unless the decent people connected to them recognize that religion has no place in public policy. They must learn to make their views known without trying to make their views the only alternatives.

These are your feelings. Please think big on this matter and you will have the answers! Madhehebu ya Pentekoste sio mapya kama unavyoamini, yameanza miaka ya 1900 sasa yana miaka zaidi ya 100. Kitu cha miaka 100 sio kipya. Uoivu haufanywi na madhehebu fulani tu, kuna ufiraji, ubakaji, ushoga nk ambao tumeshuhudia ukifanywa na catholics, islam, anglicans, lutherans nk .

Jambo la kujiuliza ni hili, kwa nini wasitajwe majina? si hawa ni waalifu, na je huko Zanzibar kuna makanisa mangapi ya kipentekoste? Jambo jingine lazima ufikiri ni hili, kwamba huwenda serikali inataka kutumia viongozi wa madhehebu yake( serikali) ambao inawatumia kama usalama wa taifa ili kumsafisha mhe rais aliyewashutumu viongozi wa dini kwamba wanauza madawa, na kama ujuavyo juzi na jana viongozi wa madhehebu yote ya kikristo walikuwa na kikao jijini. Pia ujue kuna aina tatu za viongozi wa dini; moja, ni wale walioitwa na Mungu au wenye wito, pili ni wale wa njaa au mshahara na tatu huwa kuna viongozi wa kidini ambao ni wapelelezi kama hujui.
 
Kwani nani amesema kiongozi wa dini ni Mungu? Akiuza madawa ya kulevya/kuua mtu si achukuliwe tu hatua za kisheria kama mtu mwingine yeyote? Hapa tunafumbwa macho kuwa kiongozi wa dini ni mtakatifu sana akitenda dhambi i.e. Kuuza madawa jamii yote nywele ziwasisimke ila kiongozi wa serikali akifisadi nchi kwa kiwango cha kutisha kama akina RA na wengineo ni sehemu ya utendaji wa serikali. Nchi hii inaongozwa kwa propaganda na usanii wa hali juu. ''Ukinichokoza mimi ntazisema siri zako nnazozijua zitakuumbua hadharani-vinginevyo kula mezani pako niachie kigoda changu'' huu nao ni Usanii mwingine! Let's think BIG!
 
Viongozi wa dini sasa wajisalimisha

*Wakiri kufanya biashara hiyo muda mrefu
*Watoa ushuhuda mbele ya kamati ya maadili

Na Mwandishi wa Jeshi la Polisi, Zanzibar

VIONGOZI sita wa madhehebu ya dini ambao wanajihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nchini, wamejitokeza mbele ya Kamati ya Maadili ya Viongozi wa
Dini na Haki za Jamii na kukiri kujihusisha na biashara hiyo kwa muda mrefu sasa.

Ofisa Uhusiano wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Inspekta Mohammed Mhina, amesema baada ya viongozi hao kuhojiwa, waliiomba kamati hiyo kutowataja hadharani au madhebebu yao wakihofia kubezwa.

Akizungumza mwishoni mwa ziara yao visiwani humo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mchungaji William Mwamalanga wa Kanisa la Pentekosti Tanzania, alisema orodha hiyo na wengine 18 wakiwemo wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa ambao wanajihusisha na biashara hiyo, itafikishwa kwa Mkuu wa Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Dawa za Kulevya nchi.

Mchungaji Mwamalanga alisema ongezeko la dawa za kulevya nchini pia linazihusu nchi mbalimbali duniani ambapo kamati hiyo itakutana na kamati nyingine kama hizo za nchi za Maziwa Makuu kuzungumzia ufumbuzi wa tatizo hilo.

“Mkutano huu pia utapendekeza wabunge wa nchi hizo na Bunge la Afrika ya Mashariki, kutunga sheria za kuwafilisi wale wote waliojilimbikizia mali kutokana na biashara ya dawa za kulevya kwa nchi wanachama,” alisema Mchungaji Mwamalanga na kupongeza juhudi za Jeshi la Polisi kukabiliana na ongezeko la dawa hizo.

Akizungumzia kero ya dawa za kulevya visiwani hapa, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, ACP Aziz Juma Mohammed, alisema kuwa jeshi hilo limekuwa likiwakamata wafanyabiashara na watumiaji wa dawa hizo na kuwafikisha mahakamani.

Kamanda Mohammed ametoa wito kwa wananchi na wadau mbalimbali wa usalama, kusaidiana na jeshi hilo kwa kutoa taarifa za wale wanaojihusisha na mtandao wa dawa hizo.

Wiki iliyopita watu wawili wakazi wa Dar es Salaam, walikamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar kwa nyakati tofauti wakitokea nchini Brazil ambapo kila mmoja alipatikana na kiasi kikubwa cha madawa ya kulevya aina ya Cocaine.


Usanii mtupu!!!!! Wenzenu wananyonga halafu ninyi mnashindwa hata kuwataja tu..... Hii ni dola ama Dollar! Go to hell
 
Kwamba "Viongozi wa dini" wanajisalimisha na wanakubalina na kamanda wa Polisi wa Mkoa wasitajwe majina!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Na Chombo hicho cha dola kinakubaliana nao wasitajwe hao wauza madawa ya kulevya!!!!!. Kesho Chombo hicho hicho kitataka ushirikiano wa wananchi kwa maana ya kutaja waarifu! ili iweje kama si kuwatajia waarifu watu waliotoa taarifa.Inasikitisha!!.

Kwanza hawa hawakujisalimisha hivyo hakukuwa na sababu ya kutokuwataja na kutowafikisha mahakamani. Mkuu wa Nchi alishakuwa na taarifa nao na bila shaka ana orodha yao ndo maana alitoa tamko kuhusiana na "viongozi wa dini" kujihusisha na madawa ya kulevya.

Baada ya watu kusubiri muda mrefu, tunakuja kuambiwa viongozi wa Pentecostal....sijui na nini...!!!!! Wale ni wahuni wameandaliwa
Hapo ni usanii mtupu, washindwa kuwataja waharifu tena wa madawa ya kulevya kwa faida ya nani????????? Huo ni uhuni tu tena naona post nyingi za wageni ikidhihilisha wapo kwenye kazi ya kusambaza ujinga!!!!!!!!! Vyombo vya dola Polisi Takukuru na wengine eti wajadiliane na waharifu waombe wasitajwe inaingia akilini kweli, peleka ujinga huko!!!!!!!!! Kama serikali inashirikiana na wauza unga, mafisadi, wala rushwa na wezi eti walindwe basi hatuna serikali tena in uhuni kazi kwisha!!!!!!!!!!
 
mnatutangazia ili iweje kama hamuwataji..tataaminije kama ni kweli..!!!usanii mtupu ili kuibeba kauli ya JK,na serikali inategemea waumini wa makanisa wataichukuliaje kauli hiyo kama si muendelezo wa kuwachafua viongozi wa dini, JK ANJIBU MAPIGO BAADA YA KUWALALAMIKIA SANA ETI VIONGOZI WA DINI HAWAMPENDI, NDIO ANAJIBU MAPIGO SIOOO???? its very shame, totally shame!! huko tunakoelekea jamani..
 
Hao watumishi ndiyo wanauza madawa ya kulevya nchini. Wao walitakiwa kulisadia Taifa ktk kupambana na maovu, lakini hii ni aibu kwa hawa viongozi wa dini kufanya biashara ya madawa ya kulevya.
Wacha uzushi na wewe ni mmoja wao wanaosambaza uzushi??????????? Kama kuna wauza madawa wakamatwe wapelekwe mahakamani, hiyo itakuwa sifa nzuri kwa vyombo vyo dola, si kusambaza uzushi hapa jamvini taja majina yao na wachukuliwe hatua!!!!!!!!
 
Du hata viongoz wa dini nao tanzania kwishne
Na wewe ni wale wale kama hao polisi na JK wanaoshindwa kutaja.................... KUNA SIKU UTAAMBIWA HUYO UNAYEAMINI KUWA NI MAMA YAKO SI MAMA YAKO LAKINI HUTAONYESHWA MAMA MWINGINE NA WALA HUTAPIMA DNA............ sasa itakuwa juu yako kuamini una kutoamini unachoambiwa
 
Sasa udini hapa upo wapi? JK anajaribu kuwapa heshima hao viongozi wa dini ili wasiaibike ktk jamii. Kama akiwataja majina unafikiri hali yao itakuwaje? ni aibu tupu kwa dini hiyo.

kiongozi wa dini ni binadamu, dini ni imani hatuabudu binadamu, kama kiongozi wa dini anahusika atajwe coz kumficha ni kwamba atawaharibu na waumini wake wenye kuangalia mtu kwa ushawishi [mzazi alimfuata yesu aende kumponya mwanae, yesu alisema hakuna kinachoniudhi kama hiki kizazi kilichokosa imani, yesu aliwapa uwezo wanafunzi wake kuponya na kuna siku mtoto alikuwa akiumwa sana na hapo ndipo wanafunzi wa yesu walimwombea lkn mtoto hakupona coz waliamini ni yesu pekee anayeweza kuponya] kwa ushawishi
 
Kila kukicha uzushi tuu, hii nchi kweli imelaaniwa. Kuna haja gani sasa ya kukutana nao kisha mnatutaarifu kuwa mmekutana na wauza unga! mnataka tuamini hii vita imewashinda kama ilivyokuwa kwenye uchakachuaji wa mafuta!!

Sheria zipo wazi, kinachowafanya kupindisha ni nini basi. Au ndo kusema mnahofu na ninyi watawalipua? Everywhere nowdays ni ku-compromise ni upumbavu tu. Hili taifa mnalipeleka wapi? Kuna siku tutafyatuka halafu patakuwa hapatoshi, nyie jifanyeni mna hati miliki ya hii nchi mpaka mnaweza kuamua ni yupi asamehewe bila kuwafikishwa mahakamani.
 
Wacha uzushi na wewe ni mmoja wao wanaosambaza uzushi??????????? Kama kuna wauza madawa wakamatwe wapelekwe mahakamani, hiyo itakuwa sifa nzuri kwa vyombo vyo dola, si kusambaza uzushi hapa jamvini taja majina yao na wachukuliwe hatua!!!!!!!!

Sasa uzushi uko wapi hapo? Hayo maneno yaliyoandikwa ni ya polisi. WTZ lazima tukubali kwamba jamii yetu inaanza kupotea. Sasa hivi kuna viongozi wa dini wanaouza madawa ya kulevya!! Issue kama hizi zipo kwa wenzetu, Congo, Zambia, nk, lakini sasa hivi tunaanza kuziona TZ.
Wageni tuliowakaribisha kutoka Zambia, Congo, wametumia kila njia kuingia ktk haya makanisa kuharibu muelekeo wa nchi, na Taifa kwa ujumla. Maadili ya WTZ ktk dini hayakuwa kama tunayoona sasa hivi. Hii ni hatari kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom