Sharp lady
Senior Member
- Feb 23, 2011
- 129
- 13
Hi wadau!
Naombeni anayejua dawa yakuondoa maumivu kwenye goti anijuze. Nilijigonja kwny ukuta zaidi ya mwezi sasa ndo nimeamza kupata maumivu kwnye goti. Nimejaribu dawa mbali mbali zikiwamo Volin, endosin, diclopar, irifone gel, meloxican lakini bado maumivu yapo. Naombeni ushauri wenu.
Naombeni anayejua dawa yakuondoa maumivu kwenye goti anijuze. Nilijigonja kwny ukuta zaidi ya mwezi sasa ndo nimeamza kupata maumivu kwnye goti. Nimejaribu dawa mbali mbali zikiwamo Volin, endosin, diclopar, irifone gel, meloxican lakini bado maumivu yapo. Naombeni ushauri wenu.