Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Nilikuwa stand ya basi nikasikia jamaa wanaongea kuwa kuna uwezekano wa kuunganisha simu yako na ya mwenzi wako, ili kila atakachoongea kwenye simu yake na wewe usikie, nilivutiwa sana, lakini kwa bahati mbaya kabla hawajamaliza basi lao likafika wakaondoka,
Humu JF hakuna anayeijua hiyo teknolojia?
Humu JF hakuna anayeijua hiyo teknolojia?