Dawa ya UPELE ni ipi jamani?

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na upele mwilini.Je dawa ni ipi?Upele wenyewe una hali ya ukavu ukavu na kuwasha kwa mbali.Umetapakaa sehemu kubwa ya mwili wangu kasoro usoni.Naoga kwa siku mara mbili mpaka 3.NAOMBENI USHAURI NA DAWA JAMANI.MADAKTARI WA HIZI HOSPITAL ZA JIRANI NA HOME WANANIAMBIA MINYOO.NATIBIA KISHA SIPONI.MSAADA JAMANI TATIZO HILI NI MIEZ 5 SASA.
 
Nenda kwa daktari wa ngozi (dermatologist) upate tiba ya uhakika. Utakuwa assessed na skin condition yako na kupewa dawa itakayokutibu. Pale opposite na sapna mtaa wa samora kama unaishi dar kuna skin clinic ya baba mmoja mzuri sana anaitwa dr maro. Ukifika ulizia utaelekezwa. Utapewa appointment ya kuonana naye.
 
Mkuu hakuna ugonjwa wa jumla kama upele. Mamia ya magonjwa ya ngozi yanaweza yaka present na upele, lakini tiba zikawa tofauti. Mtafute Dr. Mgonda atakusaidia vizuri zaidi. Alikuwa mwalimu Muhimbili kama alivyo Dr. Maro. Hufanya clinic za ngozi Aga Khan. Kama wataka namba yake ya simu ni PM.
 
Asanten kwa mawazo!mimi nipo tabora manispaa.nasubiri mawazo zaid.
 
Asanten kwa mawazo!mimi nipo tabora manispaa.nasubiri mawazo zaid.
Mkuu kwa suala la ngozi hata ugonjwa wowote ni lazima uonane na daktari. Nimekwambia upele ni dalili ya magonjwa mengi ya ngozi na hata yasiyo ya ngozi. Hivyo kama unataka tiba ni lazima ukamfuate daktari. Kama huwezi basi hutasaidika.
 
pole mpendwa,mi tatzo kama lako lilinitokea but nlkunywa dawa za minyoo we lakin wap,but later nikaenda hosp mwananyamala nikachomwa sndano moja tu ya arrage na nimepona,zmebak tu alama ndogo kwa sababu nlkuwa najkuna.
 
Mgonjwa pole, hapo kwenye red,hivi telemedicine haiwezi kufanya kazi? lakini kama uko busy na vijipesa unavyo niambie umlipie Dr./specialist pato lake la siku 2 aje na flight akupe dawa arudi.
Mkuu kwa suala la ngozi hata ugonjwa wowote ni lazima uonane na daktari. Nimekwambia upele ni dalili ya magonjwa mengi ya ngozi na hata yasiyo ya ngozi. Hivyo kama unataka tiba ni lazima ukamfuate daktari. Kama huwezi basi hutasaidika.
 
Mgonjwa pole, hapo kwenye red,hivi telemedicine haiwezi kufanya kazi? lakini kama uko busy na vijipesa unavyo niambie umlipie Dr./specialist pato lake la siku 2 aje na flight akupe dawa arudi.
quote_icon.png
By Ozzie
Mkuu kwa suala la ngozi hata ugonjwa wowote ni lazima uonane na daktari. Nimekwambia upele ni dalili ya magonjwa mengi ya ngozi na hata yasiyo ya ngozi. Hivyo kama unataka tiba ni lazima ukamfuate daktari. Kama huwezi basi hutasaidika.
 
Nashukuru nimeonana wma daktar.wakachukua damu yangu ili kt check NDRL.Leo nimefata majibu wameandika NDRL-Reactive.Dokta akaniandikia Doxacycline pamoja na sabuni ya kuogea.Hakutaka kuniambia NDRL nini.Nauliza majibu haya kitaalamu yana maana gani?Dokta wangu yupo mtata sana hapendi kuulizwa ulizwa.NASUBIR MSAADA JAMANI.
 
Kama uko nyumbani TZ hayo ni ya kwaida lakini ukiona hupati nafuu usisite kuuliza tena hapa,pole sana,
 
Nashukuru nimeonana wma daktar.wakachukua damu yangu ili kt check NDRL.Leo nimefata majibu wameandika NDRL-Reactive.Dokta akaniandikia Doxacycline pamoja na sabuni ya kuogea.Hakutaka kuniambia NDRL nini.Nauliza majibu haya kitaalamu yana maana gani?Dokta wangu yupo mtata sana hapendi kuulizwa ulizwa.NASUBIR MSAADA JAMANI.
Mkuu hapo kwenye nyekundu nadhan wamechek VDRL,(Venereal Disease Research Laboratory) wameangalia kama una kaswende (syphilis).
 
Dawa yake ni ipi?maana majibu waliandika reactive ina maana gani kitaalamu?Reactive ni mzima au mgonjwa?Pia nina mpenzi mmoja tu ambaye ni wife wangu!Kama nina tatizo hebu mniambie wataalamu.
 
jaribu kutafuta dawa moja vi inaitwa AZIWOK dose inakuwa vibox viwili ni vidonge,, sasa docta takushauri kutokana na ttatizo lako ila mara nyingi huwa unameza vidonge viwili tu kwa siku naunatakiwa umeze masaa mawili kabla hujala,kunakuwa na jumla ya vdonge kumi na mbili ambavyo hukaa sita sita kila kibox kimoja.ila dawa hii haipatikani kwenye viduka vidovidogo tafuta maduka makubwa inatibu maradhi yOte ya Venereal Diseases
 
Mkuu fasta itafute bahari na uoge kwa muda wa wiki moja utakuwa umepona
 
Kwa hiyo VDRL ikiwa active ina maana gani?hebu niambieni ndugu zangu wataalamu!sasa natumia sabuni inaitwa amo sulfin pamoja na vidonge vya dox ndo nameza leo siku ya tatu nitawapa ripot ndugu zangu!
 
Jamani madakltari nimerudi tena.Baada ya kumeza vile vidöge aina ya doxy alivyongandikia daktari baada ya majibu kuonyesha VDRL - Reactive nilipata nafuu na vipele vikapungua kabisa.Lakini sasa vipele vimerud kwa kasi sana.je nirudie dose?pia kama ni magonjwa ya zinaa sima mahusiano na mwanamke wa nje kabisaa.Ushauri jamani kwa wale wenye taaluma ya utabibu.
 
Back
Top Bottom