Bwana wewe AIDS is still a threat..imagine mtu maskini anayeugua AIDS kule kwetu Kayenze, pembeni mwa ziwa victoria,ambaye hata dawa za malaria tu bado ni issue, atawezaje kupata faida ya reaserch hizi zilizoko lab za Marekani? Hapa we talk something of months or years before we get the benefit.
yote tisa.. kumi ni kuzingatia mahubiri ya mtumishi mpakwa mafuta NABII NA MTUME TITO,,
YouTube - NABII TITO ATO MAAJABU DAR www.nipehabari.blogspot.com
Ngoja tusubiri tuone ...Kakini Dawa kubwa ya ukimwi ni kuacha ngono zembe
Mimi sijaipenda dawa au kinga hii kwani ugonjwa huu kwa asilimia 99 ni wakujitakia! Sasa sample zilikuwa 200 je, hii sample ni representative? Je, kama kuna aina ya 201, itakinga au kutibu? Mungu hajaribiwi!
Mimi sijaipenda dawa au kinga hii kwani ugonjwa huu kwa asilimia 99 ni wakujitakia! Sasa sample zilikuwa 200 je, hii sample ni representative? Je, kama kuna aina ya 201, itakinga au kutibu? Mungu hajaribiwi!
Mh!, Crisipin umesikia news hizo???......nadhani ratiba za uswazi zitaongezeka maradufu!!:A S tongue::A S tongue::A S tongue:
Bado ni tatizo mpaka hizo dawa zifike huku si leo wala kesho na hata bei yake sijui kama tutaiweza..
Tuendelee na kujilinda/kujikinga tu..mpaka hapo zitakapo kuja...
ikiwa kweli inamaana mungu kashindwa, tuache unafiki wa kumwingiza mungu kwa mambo yanayowezekana na mwanadamuMimi sijaipenda dawa au kinga hii kwani ugonjwa huu kwa asilimia 99 ni wakujitakia! Sasa sample zilikuwa 200 je, hii sample ni representative? Je, kama kuna aina ya 201, itakinga au kutibu? Mungu hajaribiwi!
Lakini Waziri wa Afya si WHO au kampuni ya utengenezaji wa dawa. Itabidi naye asubiri mpaka hizo dawa zitengenezwe na zithibitishwe na FDA Marekani.Waziri wa Afya Kawahakikishia wananchi wa Tz kwamba serikali itafanya kila linalowezeka ili raia wake wapate dawa hizo hata pembezoni mwa nchi
Waziri wa Afya Kawahakikishia wananchi wa Tz kwamba serikali itafanya kila linalowezeka ili raia wake wapate dawa hizo hata pembezoni mwa nchi
ikiwa kweli inamaana mungu kashindwa, tuache unafiki wa kumwingiza mungu kwa mambo yanayowezekana na mwanadamu
Hizi habari za dawa kupatikana zinatangazwa Bongo tu au?.......
wewe hizo statistics zako umezitoa wapi?Mimi sijaipenda dawa au kinga hii kwani ugonjwa huu kwa asilimia 99 ni wakujitakia! Sasa sample zilikuwa 200 je, hii sample ni representative? Je, kama kuna aina ya 201, itakinga au kutibu? Mungu hajaribiwi!
Mh!, Crisipin umesikia news hizo???......nadhani ratiba za uswazi zitaongezeka maradufu!!:A S tongue::A S tongue::A S tongue: