Dawa ya tatizo wakati wa mechi kali

Kuntakinte,
hiyo ENZYO inapatkana hapahapa Tanzania? Na ni shilling ngapi naomben mnijuze nkaitafute.....
Haina madhara pia
 
Kuntakinte,
hiyo ENZYO inapatkana hapahapa Tanzania? Na ni shilling ngapi naomben mnijuze nkaitafute.....
Haina madhara pia

hiyo kitu kama juice tu cz una mix na maji
hizo njia si za kudumu. kama una taka suluhu ya kudumu na isiyo na madhara
piga asali tu kaka plus maziwa...tangawizi akiwa rafiki yako
utakuwa machine
 
kumbe ndio maana anapenda kunywa kahawaa na kumung'unya chokolateee aaaahahaha
 
Kwanza jitoe chaputa.pili ukwa na goma lako jiamin vyakutosha.tatu hyo midawa uctumie na uk tumia úcpende kukaa na watu km mama mzaz,dada wa damu,shangz nk coz unaweza ukawaomba mchezo mifano ming tunaskia.. Alaf kwann ujitese maviagra .jarbu vitunguu swaum kuna nyuz kadhaa nmepta nmekuta wakisifia hi ktu na asal. Jarbu njia za kîasl uimarishe bunduk yako.
 
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???

Mapenzi ni starehe sio vita kijana
 
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???

Viagra and any related drugs is associated to heart & BP Problems and its fatal,don't take them anyhow.Do exercise and eat natural food & fruits and your libido(Sex drive power) will improve.Sex is natural pleasure don't force it :)
 
Back
Top Bottom