KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Wakuu nina tatizo la meno kushindwa kula vitu vya baridi au vya moto.
Nimejaribu kutumia sensodyne za aina nyingi, Aloe, whitedent harbour sijui,,lakini sina afadhali, kwani ninapotumia na kuwa fresh, lakini nikiacha kwa siku mbili tu,tatizo linajirudia.
Naombeni mwenye dawa mbadala anishauri.
Nimejaribu kutumia sensodyne za aina nyingi, Aloe, whitedent harbour sijui,,lakini sina afadhali, kwani ninapotumia na kuwa fresh, lakini nikiacha kwa siku mbili tu,tatizo linajirudia.
Naombeni mwenye dawa mbadala anishauri.