kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Wako watu wengi pamoja na mimi mwenyewe ambao wakitumia dawa ya meno aina ya Whitedent wanatoka vidonda mdomoni vinavyosababisha kikohozi cha mara kwa mara. Idadi ni kubwa sasa imenibidi niwaulize wanajukwaa kama mna taarifa na madhara haya ya Whitedent.
Taarifa kwa umma inahitajika kuelezea side effects hizi za whitedent. Kama unatumia dawa hii na vidonda na kikohozi haviishi kwako ama kwa mmoja wa wanafamilia yako acha kuitumia whitedent kwanza ili uone kama hali inaendelea vile vile au la. kama bado inaendelea kamuone dk. tbs sogeeni karibu na whitedent ili muuone kama kinachofanywa ni sasa huko
Taarifa kwa umma inahitajika kuelezea side effects hizi za whitedent. Kama unatumia dawa hii na vidonda na kikohozi haviishi kwako ama kwa mmoja wa wanafamilia yako acha kuitumia whitedent kwanza ili uone kama hali inaendelea vile vile au la. kama bado inaendelea kamuone dk. tbs sogeeni karibu na whitedent ili muuone kama kinachofanywa ni sasa huko