Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

JamiiForums

Official JF Response
Nov 9, 2006
6,200
4,984
Wakuu,

Tunaomba ushauri wenu, wapi kwa Dar anapatikana Daktari ambaye ni specialist wa magonjwa ya ngozi.

Tunauliza hivi kwa niaba ya watu wengi sana ambao wamekuwa wanatupigia simu wakitaka kujua ni wapi watapata mtaalam wa magonjwa ya ngozi na hili la MBA likiwa mojawapo.

Shukrani

Skin fungal infections are common especially in tropical areas. Nilikuwa na tatizo kama la kwako, nikiwa mdogo nilipata kichwani (mapunye)ilibidi ninyolewe nywele zote. Nilivyofikia puberty years ikatokea mgongoni, mara zote hizo nilitibiwa na whitefield ointment nikadhani tatizo limepotea. Miaka karibu kumi iliyopita nilikuwa ninawashwa mwili mzima, sehemu fungus walikuwa wanaonekana ilikuwa chini ya maziwa. Kichwani nilipata mba wa ajabu, sikuwa ninaweza kusuka nywele, especially nikisuka rasta baada ya siku mbili zinaonekana chafu kwaajili ya utando mweupe unaozunguka.

Nilikutana na Dr wa Kinageria, akaniambia atajitahidi mpaka hili tatizo linakwisha, ikiwezekana kuchuka skin sample na kuipeleka lab wajui ni type gani ya fungal infection. Alinipa vidonge (diflucan tablets) nitumie kwa miezi mitatu kila siku kidonge kimoja, aliniandikia (daktacort cream) nipake zile sehemu zenye mba nizoweza kufikia na aliniandikia (nizoral shompoo) ilibidi nikate nywele upara kabisa na kuna siku nilikuwa ninapaka shampoo bila kuosha na ninalala mpaka asubuhi nikiosha shampoo nilikuwa ninapaka dakttacort cream. Nilifanya matibabu haya kwa muda wa miezi mitatu bila kuacha. Ninashukuru kwangu sasa mba ni historia.

Sabuni ya detol ni kwa bacteria infections such as vipele na ukumbuke mba ni fungal infection.

========

Skin fungus infections are hard to recognize. The itching, flaking, redness, and thickened skin of fungal infections can look just like other types of dermatitis or skin allergies.

In fact, eczematous skin often becomes infected with fungi, so both are present simultaneously. Doctors use microscopes to help them diagnose skin fungus infections, so there's no way you can really be sure at home.

Tinea Versicolor. This fungus actually changes the color of the skin it infects; the patches may be lighter or darker than your normal surrounding skin. This spotted pattern and the fine scaly flakes at the margins make this fungal infection the easiest to identify. Since itching and irritation are mild, it's also the least bothersome.

Warmth, humidity, sweating, and poor air circulation all help bring about these fungal infections. But they are contagious, too. Athlete's foot is believe to be passed on locker room and shower floors, and by sharing footwear and socks; you can acquire tinea versicolor from vinyl surfaces of weight lifting benches; and of course ringworm is contagious through direct contact (usually kids).

There are several effective OTC anti-fungal medications. Because different fungi affect different locations, medications are sometimes specific for those locations. The recommendations below should help you sort it out.

Although not a Category I agent, selenium sulfide shampoo is universally recognized by dermatologists as an effective OTC remedy for tinea versicolor. Since it often affects large areas of the trunk, applying this shampoo once a day for five minutes, then washing off, is a lot easier and cheaper than using a whole tube of anti-fungal cream twice daily. Tinea versicolor also tends to recur easily, but this shampoo can prevent it if used once a week after the initial 2-4 week treatment cycle.


Kim @ ire
 
Hi Pole, ugonjwa huo wa ngoyi no common sehemu yenze unyevunyevu mwingi( high humidity, ndyo maana unatoweka ukikaa sehemu za baridi na kurudi sehemu za joto.

Kwanza tumia dawa kwa muda mrefu ie 6-12 weeks. Pili zingatia usafi kwa kupasi nguo mara kwa mara, tatu usivaliane nguo. La mwisho ambalo ni muhimu, sehemu zenye mikunjo kama chini ya maziwa, kwenye mapaja (groin utumie powder ya kupunguza unyevu, usitumie dawa za uhakika kutoka kwa daktari wa ngozi.

Kama wewe ni mnene kama ninavyohisi punguza unene. Nenda kamwone daktari wa ngozi kama hali itaendelea.

===================

Je, ni vipi hushambulia ngozi?

Maeneo yenye mabaka yanayoletwa na fangasi wa aina hii hubadilika rangi yake na kuwa na rangi hafifu au inayoonekana zaidi (kama ni mtu mwenye rangi ya maji ya kunde basi ngozi iliyoathiriwa hubadilika na kuwa nyeupe au nyeusi sana.

Hali hii hutokana na uwezo wa fangasi wa aina hii kusimamisha shughuli za uzalishaji wa homoni na kemikali inayoipa ngozi rangi yake. Hii husababisha upungufu wa kemikali na hivyo mabadiliko ya rangi ya ngozi.

Upungufu huo ya rangi ya ngozi si wa kudumu, bali ngozi hurudi kwenye hali ya kawaida ya rangi yake baada ya muda mrefu kidogo tangu maradhi halisi yalipokomeshwa. Bila matibabu maradhi haya huchukua muda kupona hivyo dawa ni muhimu ili mwenye maradhi aweze kupona upesi.

Namna ya kuyatambua

Maradhi haya ni rahisi kuyagundua ila kutokana na kufanana kwake na maradhi mengine yenye dalili kama hizi uhakiki wa vimelea vinavyosababisha maradhi haya ni muhimu.

Sehemu ya ngozi kutoka kwenye eneo lenye maambukizi huchukuliwa na kupelekwa maabara ambako sehemu hii ya ngozi huwekwa kwenye darubini maalum kwa ajili ya kuangalia vimelea hivi vya fangasi.

Nini matibabu yake?

Maradhi haya huweza kutibika kirahisi, ila mara nyingi hurudia kushambulia ngozi hasa eneo ambalo liliwahi kushambuliwa kabla.

Kutokana na uwezo wake wa kurudia kuambukiza ngozi huwa inashauriwa kwa aliyewahi kupata maradhi haya kurudia kutumia dawa ya kuua vimelea vya fangasi mara kwa mara ili kuondoa uwezekano wowote wa maradhi kurudia kushambulia.

Matibabu ya maradhi haya huhusisha dawa za kupaka zinazoua vimelea hivi vya fangasi.

Dawa za kuua vimelea vya fangasi za kunywa pia hutolewa kwa ajili ya kutibu aina hii ya fangasi lakini hushauriwa zitolewe tu kama dawa za kupaka zimeshindwa kuua vimelea hivi vya fangasi.

Maradhi yanayofana nayo:

Kuna magonjwa ambayo hufanana na maradhi haya. Mfano ;

-Pumu ya ngozi

-Vitiligo

Maradhi haya tutayazungumzia kwenye makala zijazo kwenye mtiririko huu.

Matokeo baada ya matibabu

Kama nilivyoandika hapo juu maeneo ya ngozi yaliyobadilika rangi huweza kubaki hivyo hata baada ya vimelea vya fangasi kuondolewa na dawa.

Hii inamaanisha inawezekana kabisa mgonjwa akabaki na mabaka yanayotokana na vimelea hivi vya fangasi muda mrefu hata baada ya kutumia dawa ambayo imefanikiwa kuondoa vimelea hivi vya fangasi. Hali hii mara nyingi huchanganya wagonjwa na kusababisha wagonjwa kudhani kuwa maradhi bado upo hivyo kuendelea kutumia dawa au kuanza kutumia dawa baada ya muda mfupi tangu kumaliza kutumia dawa zilizofanikisha uondoaji wa vimelea.

Hali ya sehemu ya ngozi iliyoathiriwa na vimelea vya fangasi kurudisha rangi ya kawaida ya ngozi kama sehemu nyingine ambazo hazikua na madhara huchukua muda mrefu kidogo ingawa kama eneo husika lilikua na uvimbe basi uvimbe hupotea haraka.
 
Dawa ya kutibu Maradhi ya ugonjwa wa ngozi uchukuwe tango ulioshe vizuri kisha utengeneze juisi ya matango juisi hiyo uitengeneze lakini bila kumenya maganda ya matango na uwe unakunywa asubuhi kikombe kimoja mchana kikombe kimoja na jioni na pia uendelee kutafuna matango bila ya kumenya kwa uwezo wa Mwenyeezi Mungu ugonjwa wako utapona. tumia hii dawa kisha unipe Feedback

Tiba ya mba kwa kutumia mbegu za papai

Mbegu za papai tiba ya mba


Pia mapapai yaliyoiva yanatibu mapunye (ringworm), mabichi yanatibu msukumo mkuu wa damu (high blood pressure), mapapai yanatumika kama mkuyati (aphrodisiac), yanatumika kama kituliza maumivu (analgesic), mbegu za mapapai zinapunguza maumivu ya tumbo (stomachache)

Mba au mabaka mabaka kwenye ngozi ni miongoni mwa mambo yanayosababisha ngozi kukosa muonekano mzuri na hata kumfanya mhusika mwenye matatizo kujikuta akijikuna kila wakati.

Kitaalamu mba ni aina mojawapo ya magonjwa yanayoambukizwa na fangasi ambao husababisha muwasho.

Wanawake wengi wanakumbana na matatizo haya ya mba, kutokana na kupaka aina ya vipodozi vinavyowaletea athari katika ngozi zao.

Unapokumbana na tatizo la namna hii ni vizuri kujipaka dawa zinazofaa badala ya kutafuta krimu ambazo ni hatari zaidi. Mbegu za papai ni tiba nzuri na ya asili ambayo haiwezi kukuletea madhara zaidi.

Jinsi ya kuondoa mba kwenye ngozi ya uso

Mbegu za papai ni dawa ya asili inayoweza kutibu ngozi yako na kukuondolea tatizo la kuwashwa au mabaka yanayokukabili.

Namna ya Kutumia kama ni Dawa Mbegu za Papai.

Unachotakiwa kufanya ni kuzipondaponda na kujipaka kwenye eneo lililoathirika na mba. Hii itasaidia kuondoa ugonjwa huo na kuiacha ngozi yako ikiwa safi na yenye afya nzuri.

Unaweza kutumia krimu maalum za kuondoa mba hizo, zinapatikana katika maduka ya dawa, lakini unachopaswa kufanya ni kufuata masharti na kupaka kwa umakini kwenye sehemu ilioathirika.

Waweza pia kutumia sabuni maalum ya maji, shampoo, poda na hata baadhi ya losheni zote hizi zinaweza kuisafisha ngozi yako na kuifanya iondokane na muwasho unaokukera na wakati huo kuiacha ngozi yako ikiwa safi na yenye kuvutia.



Kitunguu swaumu pia ni dawa ya fangasi

Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.

Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)

Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!
 
Skin fungus infections are hard to recognize. The itching, flaking, redness, and thickened skin of fungal infections can look just like other types of dermatitis or skin allergies.

In fact, eczematous skin often becomes infected with fungi, so both are present simultaneously. Doctors use microscopes to help them diagnose skin fungus infections, so there’s no way you can really be sure at home.

Tinea Versicolor. This fungus actually changes the color of the skin it infects; the patches may be lighter or darker than your normal surrounding skin. This spotted pattern and the fine scaly flakes at the margins make this fungal infection the easiest to identify. Since itching and irritation are mild, it’s also the least bothersome.

Warmth, humidity, sweating, and poor air circulation all help bring about these fungal infections. But they are contagious, too. Athlete’s foot is believe to be passed on locker room and shower floors, and by sharing footwear and socks; you can acquire tinea versicolor from vinyl surfaces of weight lifting benches; and of course ringworm is contagious through direct contact (usually kids).

There are several effective OTC anti-fungal medications. Because different fungi affect different locations, medications are sometimes specific for those locations. The recommendations below should help you sort it out.

Although not a Category I agent, selenium sulfide shampoo is universally recognized by dermatologists as an effective OTC remedy for tinea versicolor. Since it often affects large areas of the trunk, applying this shampoo once a day for five minutes, then washing off, is a lot easier and cheaper than using a whole tube of anti-fungal cream twice daily. Tinea versicolor also tends to recur easily, but this shampoo can prevent it if used once a week after the initial 2-4 week treatment cycle.

Kim @ ire
 
ASANTE BABA!
hizi makala ndo zenyewe hizi..............!Wasiwasi wangu ni watu kuisoma na kuilewa.maanake wanajamii kwa sasa wanazipitia sana makala za mafisadi,wanasahau hata afya zao
 
Kwa ushauri na Tiba yenye akili, nenda pale LUTHER HOUSE kuna clinic ya magonjwa ya ngozi, utampata mtaalam aliyebobea (Dermatologist), au unaweza kwenda TUMAINI HOSPITAL upanga matatizo yako yataisha.
 
Kwa ushauri na Tiba yenye akili, nenda pale LUTHER HOUSE kuna clinic ya magonjwa ya ngozi, utampata mtaalam aliyebobea (Dermatologist), au unaweza kwenda TUMAINI HOSPITAL upanga matatizo yako yataisha.

Asante sana mkuu nitakwenda kama ulivyonishauri. God Bless you all!
 
Chocolate

kuna baadhi ya watu wanatatizo kama hilo,naamisha hiyo hali tatizo hutokea katika hali ya joto na kupotea katika kipindi au maeneo yenye baridi,ila wao hutokea maeneo ya sehemu za siri.

YAWEZEKANA IKAWA NINI?
 
Last edited by a moderator:
Pole sana najua usumbufu wake.

Kama yote uliyoshauriwa hapo juu yakishindikana na kama uko tayari kughalimia afya yako zaidi, kuna Specialist wa ngozi (Ni clinic ya ngozi tu)-kwenye kimtaa zinapopita dala dala kabla ya kuingia UN Road zikitokea Muhimbili.

Pia Kuna cream na lotion za watu wa Forever Living, shida ni kuwa ni gharama sana lakini nilikuwa na tatizo kama hilo lilikwisha kabisa kabla hata ya kumaliza nusu dose. Na wakati ukiendelea na hizo njia zingine jaribu kutumia sabuni zenye aloevera zinaweza kukusaidia pia.
 
I think you need to see a dermatologist for sure. Hiyo Fluconazole si ya vaginal thrush sasa ni nani alikupatia kutibu mba?? Be careful nenda hospitali upate proper prescription. Pole sana
 
Dr Mgonda MD...PhD, Muhimbili ila sorry sina contact zake uliza tu MNH watakupatia
 
Ukiwa unaelekea muhimbili kwa daladala zinazotokea faya kwenye ule mtaa unaochepuka toka Umoja wa mataifa, kuna kitengo cha magonjwa ya ngozi.
 
Prof Massawe karibu na kona ya majeneza muhimbili. Prof Palangyo ambaye ni mkuu wa chuo pia ni dermatologist mzuri. Tiba asilia unafagilia pia nikupe wataalamu wake?
 
Namimi naunga hoja >100% kama wah. waliotangulia kwa ku-recomend Prof. Massawe (Upanga karibu na MUHIMBILI), Dr Mboneko (Luther House), Dr Mgonda (MNH), Dr Bakari (MNH), hao wataalam pia utawakuta ukienda TUMAINI HOSP. pale Upanga karibu na makao makuu ya JWTZ.
 
Ndugu wanaJF hivi wapi naweza kumpata daktari mzuri wa magonjwa ya ngozi?
msaada wenu pls...
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom