Dawa ya maumivu ya magoti

no9

Senior Member
Nov 11, 2010
188
18
Kama kunamtaalamu ugonjwa huu naomba msaada inapofika majira ya alfajiri saa 10-12 nasikia maumivu makali kwenye magoti kama mtu anakoka moto nejaribu kupima vipimo km s.uric acid----280 umol/l,fbs--hb%5.3mmol/l,bunn--2.5mmol/l,s creatinine--70 umol/l,s cholesterol 4.7mml/l.mtalaamu uanaweza anzia hapa siku nikipiga vicastle vye kama vile nimeongeza petrol kwenye moto naomba kuwasilisha wadau.
 
wanajf hawa madr vipi wako kwenye mgomo hatammoja wa kunifariji
 
pole sana mkuu yaliyokupata. tatizo lako huwakumba wengi nyakati hizi kwani chakula cha sasa hakitoshi na hakikidhi mahitaji ya mwili kwa kila siku kwa sababu watu wengi wanakula sumu nyingi na hakuna harakati za kuiondoa hiyo sumu miilini mwao.kama unaweza jaribu tiba mbadala, kwani nahisi utakuwa umepungukiwa madini chokaa(calcium) pia ile fruid ya kwenye joint itakuwa imepote hivyo kama unaweza jaribu TIENS/TIANSHI huwa wanashauri watu na kutoa huduma ya kupima na kuona tatizo ni lipi pia hutoa huduma kama unaihitaji. waweza niambia ulipo ili nikuelekeze ofisi zao zilizokaribu na wewe kawa huzifahamu au tembelea www.tiens.com , www.aftiens.com au ni sms kwa 0755569494
 
Back
Top Bottom