Habari Wanajamii,Tafadhalini ndugu naomba mnijurishe dawa bora ya maralia kwa mtoto chini ya mwaka mmoja, ambaye ni mara yake ya kwanza kuugua maralia,ipatikanayo hapa nchini Tanzania.
Nitashukuru sana iwapo pia nitafahamishwa Hospitali yenye daktari bingwa wa watoto hapa nchini Tanzania.
Asanteni sana
Nitashukuru sana iwapo pia nitafahamishwa Hospitali yenye daktari bingwa wa watoto hapa nchini Tanzania.
Asanteni sana