G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Hallo wajumbe samahanini naombeni kufahamishwa nifanyaje ili kuziweka lips katika hali ya kawaida kwani kwa sasa niko Iringa kuna baridi na upepo kila mara lips zinababuka nakuwa nyeupe nimejaribu kupaka mafuta ya mgando au mafuta spesho ya lips yanadumu kwa muda mfupi hali inajirudia hivyo nalazimika kulamba lips zangu mara kwa mara je jambo lipi laweza saidia?