Dawa ya lipsi(lips)

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Hallo wajumbe samahanini naombeni kufahamishwa nifanyaje ili kuziweka lips katika hali ya kawaida kwani kwa sasa niko Iringa kuna baridi na upepo kila mara lips zinababuka nakuwa nyeupe nimejaribu kupaka mafuta ya mgando au mafuta spesho ya lips yanadumu kwa muda mfupi hali inajirudia hivyo nalazimika kulamba lips zangu mara kwa mara je jambo lipi laweza saidia?
 
Tumia colorless lip gloss mara kwa mara, usingoje mpaka lips zikauke ndiyo utumie..
Au kuwa unapaka mafuta ya mgando (baby care, vaselline etc) mara kwa mara..
 
Kama wewe ni mwanaume tumia LABELLO lip balm, yenyewe huwa haing'ai. Ila kama mwanamke tumia lip gloss yoyote. Hakikisha unatembea nayo mfukoni, na uipake kila wakati unapohisi mdomo umekauka. Huwa hakuna lipshine inayodumu kwa siku nzima hata kama hujala chochote tangu uipake. Kwa hiyo usichoke kuipaka kila saa unapohisi mdomo umekauka. Hata vaseline inafaa kama unashindwa kupata hizo lipbalm.
 
angalia pia afya ya ngozi yako. kula matunda na jitahidi unywe maji japokuwa kuna baridi. kulamba lips kila wakati inaharibu lips zaidi manake unachukua unyevunyevu wa asili. kuna lip balm za vaseline for healing,zinapatikana supermarkt. pole,tahadhari,usinyofoe magamba ndo unaharibu zaidi na ku-expose layer za chini ambazo hazijadhurika
 
usilambe mate yanaharibu kabisa...tumia izo vitu wadau walivosema
 
je mafuta mazito ambayo sio maalum kwa lips hayawezi kukudhuru yanapoingia ndani ya kinywa chako na hatimaye tumboni?
 
Back
Top Bottom