Dawa ya kutoa ndevu permanently kwa wadada

Beby

Member
Nov 19, 2011
24
4
Jamani naombeni msaada pliz. Kuna kipind nlipima hosp nkakutwa na tatizo la homon imbalance, nikawa sipat perio vzuri, sasa ishu ni kwamba tokea nimegundulika na hilo tatizo, nimeanza kuota nywele, yaan vinyweleo vinazidi kua vingi na pia ndevu zimeanza kuota. Sipend ndevu ukizingatia mimi ni mdada na sikuwah kuwa nazo. Situmii cream yoyoye wala usoni sipakagi mafuta. Naombeni mniambie dawa isiyo na madhara. Heeelp pliz
 
Pole sana kwa tatizo hili. Issue hapo ni hiyo hormone disruption. Nakushauri urudi kwa dr wako akushauri jinsi gani ya kuendelea kubalance hizo hormones.
 
pole mwaya, fuata ushauri wa King'asti rudi kwa dokta.
 
Dah, sijui kwa nini, lakini nikiona mwanadada mwenye ndevu huwa napatwa na huruma juu yake.. Hebu jaribu kurudi kwa Dakta acheki uwezekano wa kuziweka sawa homoni, coz nasikia huwa inawezekana..
 
Basically detoxification is happening all of the time in your body. The process is 100% dependent on the proper nutrients for the biochemistry to work right. When we have an excess of toxins in our body and a deficiency in the nutrients to process them out, these toxins back up and are stored in our tissues and wreak havoc with our physiology. For example, xenohormones, which are environmental chemicals that mimic estrogen in the body((from plastics, makeup, pesticides, herbicides (which are on nonorganic food), pharmaceutical hormones, etc.)) are one of the things that can put you into estrogen dominance, symptoms of this are imbalances in menstruation, anxiety, anger, mood swings, agitation, depression, cravings, little red dots on your skin (cherry hemangiomas), facial hair growth(peach fuzz) and a ton of other symptoms. Just google estrogen dominance symptoms. This is but one example of excess toxins (in this case xenoestrogens) building up in the body. The toxic load has overwhelmed the detox mechanisms and lots of weird symptoms result. The main detox mechanism is called the Cytochrome P450 enzyme system, the main detox organ is the liver. There are two phases. Phase I is the oxidation,reduction, hydrolysis, hydration, dehalogenation step, this produces reactive oxygen intermediates referred to a primary metabolites, that are actually more toxic than the initial molecule. Phase II is the Sulfation, methylation, glucuronidation steps of the primary metabolite formed in Phase I. This makes them water soluble to then be excreted in the bile through the gut, and in the urine via the kidneys. You don't need to know all of the biochemistry of this, all you need to know is that both of these steps are 100% dependent on nutrients, and without the nutrients it will not work, and a toxic load builds up in your system causing all kinds of weird seemingly unrelated symptoms. The detox products we use are from Standard Process (a whole food nutrition company), Cruciferous Complete, SP Cleanse, Folic acid B12, B6 niacinimide, Gastrofiber, and SP Complete. You can read about them on Standard Process Inc.
It is a very complex system, but at the same time quite simple. How many times one needs to do a detox depends on how much toxic load there is. I compare symptoms of before and after, and just use common sense.
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
Dah, sijui kwa nini, lakini nikiona mwanadada mwenye ndevu huwa napatwa na huruma juu yake.. Hebu jaribu kurudi kwa Dakta acheki uwezekano wa kuziweka sawa homoni, coz nasikia huwa inawezekana..

Haiwezekani mkuu
 
Basically detoxification is happening all of the time in your body. The process is 100% dependent on the proper nutrients for the biochemistry to work right. When we have an excess of toxins in our body and a deficiency in the nutrients to process them out, these toxins back up and are stored in our tissues and wreak havoc with our physiology. For example, xenohormones, which are environmental chemicals that mimic estrogen in the body((from plastics, makeup, pesticides, herbicides (which are on nonorganic food), pharmaceutical hormones, etc.)) are one of the things that can put you into estrogen dominance, symptoms of this are imbalances in menstruation, anxiety, anger, mood swings, agitation, depression, cravings, little red dots on your skin (cherry hemangiomas), facial hair growth(peach fuzz) and a ton of other symptoms. Just google estrogen dominance symptoms. This is but one example of excess toxins (in this case xenoestrogens) building up in the body. The toxic load has overwhelmed the detox mechanisms and lots of weird symptoms result. The main detox mechanism is called the Cytochrome P450 enzyme system, the main detox organ is the liver. There are two phases. Phase I is the oxidation,reduction, hydrolysis, hydration, dehalogenation step, this produces reactive oxygen intermediates referred to a primary metabolites, that are actually more toxic than the initial molecule. Phase II is the Sulfation, methylation, glucuronidation steps of the primary metabolite formed in Phase I. This makes them water soluble to then be excreted in the bile through the gut, and in the urine via the kidneys. You don’t need to know all of the biochemistry of this, all you need to know is that both of these steps are 100% dependent on nutrients, and without the nutrients it will not work, and a toxic load builds up in your system causing all kinds of weird seemingly unrelated symptoms. The detox products we use are from Standard Process (a whole food nutrition company), Cruciferous Complete, SP Cleanse, Folic acid B12, B6 niacinimide, Gastrofiber, and SP Complete. You can read about them on Standard Process Inc.
It is a very complex system, but at the same time quite simple. How many times one needs to do a detox depends on how much toxic load there is. I compare symptoms of before and after, and just use common sense.

thanx, ntachek the link ili nielewe vzur.. It seems the issue is complex
 
Jamani naombeni msaada pliz. Kuna kipind nlipima hosp nkakutwa na tatizo la homon imbalance, nikawa sipat perio vzuri, sasa ishu ni kwamba tokea nimegundulika na hilo tatizo, nimeanza kuota nywele, yaan vinyweleo vinazidi kua vingi na pia ndevu zimeanza kuota. Sipend ndevu ukizingatia mimi ni mdada na sikuwah kuwa nazo. Situmii cream yoyoye wala usoni sipakagi mafuta. Naombeni mniambie dawa isiyo na madhara. Heeelp pliz

mpango mzima Gillete MAX 4, ukimix na ma-shaving cream mixa after shave raha tupu.
Kwenye aftershave napendekeza CHIMERE, niliiona mu-DStv!
 
Dah, sijui kwa nini, lakini nikiona mwanadada mwenye ndevu huwa napatwa na huruma juu yake.. Hebu jaribu kurudi kwa Dakta acheki uwezekano wa kuziweka sawa homoni, coz nasikia huwa inawezekana..

wanawake wenye ndevu huwa wana uwezo mzuri wa kifedha. Ngoja niendelee na utafiti ila kati ya wote ninaowafahamu mambo yao yako mwaaah!
 
Huo ugonjwa unaitwa hirsutism (un wanted hair growth). Kama hapo kabla ulikuwa unapata hedhi kama kawaida na ghafla hilo likatokea inawezekana ukawa na tatizo linalohitaji attention ya dr haraka. Mojawapo ya tatizo linaloweza kusababisha hayo manywele ni kuota mifuko ya maji kwenye mtambo wa mayai ya kike (ovarian cysts), kansa ya ovari, tezi za adreno n.k. Ukienda hospitali CT scan au Ultra sound inaweza kuthibitisha au kuondoa uwezekano wa hiyo list. Ukiondoa hiyo list hapo juu au nyingine yanayohusu matatizo ya viungo huna haja ya kuwa na hofu.

Pia unaweza kuuliza kama kwenye familia yenu kuna mtualiwahi kuwa na tatizo kama hilo.

Hormonal imbalance ya kurithi unaweza kuishi nayo no need to worry...
 
Jamani naombeni msaada pliz. Kuna kipind nlipima hosp nkakutwa na tatizo la homon imbalance, nikawa sipat perio vzuri, sasa ishu ni kwamba tokea nimegundulika na hilo tatizo, nimeanza kuota nywele, yaan vinyweleo vinazidi kua vingi na pia ndevu zimeanza kuota. Sipend ndevu ukizingatia mimi ni mdada na sikuwah kuwa nazo. Situmii cream yoyoye wala usoni sipakagi mafuta. Naombeni mniambie dawa isiyo na madhara. Heeelp pliz
Beby ulipataaa dawa !???
 
Jamani naombeni msaada pliz. Kuna kipind nlipima hosp nkakutwa na tatizo la homon imbalance, nikawa sipat perio vzuri, sasa ishu ni kwamba tokea nimegundulika na hilo tatizo, nimeanza kuota nywele, yaan vinyweleo vinazidi kua vingi na pia ndevu zimeanza kuota. Sipend ndevu ukizingatia mimi ni mdada na sikuwah kuwa nazo. Situmii cream yoyoye wala usoni sipakagi mafuta. Naombeni mniambie dawa isiyo na madhara. Heeelp pliz
Mhh
 
Back
Top Bottom