Dawa ya kutibu minyoo iliyopo tayari kwenye mzunguko wa damu

biarakeyz

Senior Member
Jan 19, 2016
183
46
Habari zenu wakuu,

Nilikua naomba msaada wa kujua dawa zipi ambazo zinaweza kutibu minyoo ambayo tayari iko kwenye damu. Maana nilienda hospitali nikafanya kipimo cha full blood picture ikaonekana kwenye damu kuna minyoo.

Nimetumia dawa zote za minyoo zilizozoeleka kama albendazole, zentel, mebendazole lakini tatizo bado laendelea ikiambatana na kuvimba sehemu yoyote ya mwili endapo ikawasha na nikajikuna.

Pia sometimes hadi napoteza ile hamu ya kula. Mmoja akaniambia maybe nijaribu kutumia Azithromycin labda yaweza nisaidia.

Naombeni msaada wenu wa ushauri wakuu, dawa ipi nitumie yaweza nisaidia?
 
Daah pole sana mkuu mi nshawah kuwa na tatizo Hilo nilikunywa hizo Albendazole azithromycin na Kuna sindano nilichomwa apa kweny mshipa wa mkononi nkapona ila hyo dawa walionichoma mkononi ndo cjajua jina ila jaribu kwenda kwa MA specialist watakusaidia.
 
Huko walikokupima damu wakatambua tatizo wanapaswa wakushauri dawa kutegemeana na walichoona. Dawa zikishindwa kukusaidia wanapaswa kufanya blood culture ili wajue ni dawa gani itakutibu zaidi. Rudi hospitali, update ushauri wa uhakika.
 
Daah pole sana mkuu mi nshawah kuwa na tatizo Hilo nilikunywa hizo Albendazole azithromycin na Kuna sindano nilichomwa apa kweny mshipa wa mkononi nkapona ila hyo dawa walionichoma mkononi ndo cjajua jina ila jaribu kwenda kwa MA specialist watakusaidia.
asante kaka,aukumbuki ni dawa za sindano zipi ulizotumia,mana mpaka sasa sijajua naweza tumia alternative ipi ili nipone
 
Huko walikokupima damu wakatambua tatizo wanapaswa wakushauri dawa kutegemeana na walichoona. Dawa zikishindwa kukusaidia wanapaswa kufanya blood culture ili wajue ni dawa gani itakutibu zaidi. Rudi hospitali, update ushauri wa uhakika.

(Afu usile tena nyama ya mtu lol. Nakutania mwaya, ugua pole )
hahaha asante kwa ushauri wako
 
Mmoja akaniambia maybe nijaribu kutumia Azithromycin labda yaweza nisaidia.

Huyu ni mtaalamu wa madawa, ni Dr au? yawezekana unapenda kupata ushauri kwa watu wasio na ujuzi wa madawa, hebu nenda tena kwa Dr. usichoke utapata tiba sahihi
 
Huko walikokupima damu wakatambua tatizo wanapaswa wakushauri dawa kutegemeana na walichoona. Dawa zikishindwa kukusaidia wanapaswa kufanya blood culture ili wajue ni dawa gani itakutibu zaidi. Rudi hospitali, update ushauri wa uhakika.

(Afu usile tena nyama ya mtu lol. Nakutania mwaya, ugua pole )
anhaa sawa kaka dawa ya sindano iyo ndo uikumbuki?tatizo kuwapata awo ma-specialist sijajua wapi naweza kuwapata mana kwa sehem niliyopo nisema sijafanikiwa kabisa kuwapata mana kote nimejaribu naishia kupewa izo dawa
 
Mmoja akaniambia maybe nijaribu kutumia Azithromycin labda yaweza nisaidia.

Huyu ni mtaalamu wa madawa, ni Dr au? yawezekana unapenda kupata ushauri kwa watu wasio na ujuzi wa madawa, hebu nenda tena kwa Dr. usichoke utapata tiba sahihi
asante kaka,ila nmejaribu kwenda kwa doctors naishia kupewa dawa izo
 
Kwanini usimuulize huyo jamaa aliyekua na ugonjwa kama wako ujue ametibiwa wapi nawe uende?
 
Yaani unaamini kabisa kuna specialist wa minyoo?
Hahaha acha masikhara bwana. Hebu nenda hospitali
anhaa sawa kaka dawa ya sindano iyo ndo uikumbuki?tatizo kuwapata awo ma-specialist sijajua wapi naweza kuwapata mana kwa sehem niliyopo nisema sijafanikiwa kabisa kuwapata mana kote nimejaribu naishia kupewa izo dawa
 
Back
Top Bottom