Larusai Mux
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 979
- 275
Salam wakuu,
Ni siku ya tano sasa nasumbuliwa na Kiungulia (Bile......), haijalishi nimekula aina gani ya chakula basi ni shida tu. Nimejaribu kuomba ushauri kwa watu nao wakasema ni tumbo chafu hivyo inabidi nitapike au niharishe ili uchafu uishe, naombeni ushauri zaidi na tiba husika.
Shukrani..
Ni siku ya tano sasa nasumbuliwa na Kiungulia (Bile......), haijalishi nimekula aina gani ya chakula basi ni shida tu. Nimejaribu kuomba ushauri kwa watu nao wakasema ni tumbo chafu hivyo inabidi nitapike au niharishe ili uchafu uishe, naombeni ushauri zaidi na tiba husika.
Shukrani..