badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,097
Za Eid wana JF..
Hivi karibuni nywele zangu naona zinanipa shida kiasi,
hazikui haraka,kuchana scalp inaumaa si kama zamani afu zimekuwa kavu, kwa urefu nywele si ndefu sana pia si fupi,naweza kubana,kusuka na kustyle vyovyote nipendavyo,pia sio chache kichwani zimejaa kawaida tu,ishu ni huo ukavu,zinakatika hadi nasikia uchungu,
naomba ushauri wa mafuta yapi mazuri ya kupaka,kwa jina na bei na yanapopatikana ili nitumie nywele ziwe laini zisikatike wala kuuma..
Ninatumia dawa nywele sio natural...ila si mbaya pia nikajua mafuta mnayotumia wenye 'natural' kulainisha nywele
Nawasilisha
Hivi karibuni nywele zangu naona zinanipa shida kiasi,
hazikui haraka,kuchana scalp inaumaa si kama zamani afu zimekuwa kavu, kwa urefu nywele si ndefu sana pia si fupi,naweza kubana,kusuka na kustyle vyovyote nipendavyo,pia sio chache kichwani zimejaa kawaida tu,ishu ni huo ukavu,zinakatika hadi nasikia uchungu,
naomba ushauri wa mafuta yapi mazuri ya kupaka,kwa jina na bei na yanapopatikana ili nitumie nywele ziwe laini zisikatike wala kuuma..
Ninatumia dawa nywele sio natural...ila si mbaya pia nikajua mafuta mnayotumia wenye 'natural' kulainisha nywele
Nawasilisha