Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Wakuu kama kuna mtu anayejua dawa hii.
"Ndoa inataka vunjika kwa kuwa purupushani zimezidi wife halali kabisa na weekend ni mwendo wa taulo friday evening to monday morning, wife analalamika sana anasema hajawahi ona mtu anayepiga mzigo kiasi hiki"
Nadhani hii itakuwa ni ugonjwa
MJ
"Ndoa inataka vunjika kwa kuwa purupushani zimezidi wife halali kabisa na weekend ni mwendo wa taulo friday evening to monday morning, wife analalamika sana anasema hajawahi ona mtu anayepiga mzigo kiasi hiki"
Nadhani hii itakuwa ni ugonjwa
MJ