KIGHERA
Member
- Nov 19, 2010
- 84
- 27
Wadau naomba msaada wenu maana naona naangamia huku najiona,mimi ni mvulana nilikuwa na GF ambae nilikaa naye kwa miaka 3,then kulitokea ugomvi wa kawaida ameniambia hanitaki tuachane.
mimi bado nampenda sasa nina mawazo ambayo yamenisababishia vidonda vya tumbo,hata kufanya kazi pamoja na kusoma nasindwa.
Nisaidieni jamani nifanyeje haya mawazo yasiharibu maisha yangu na yaishe kabisa...!
mimi bado nampenda sasa nina mawazo ambayo yamenisababishia vidonda vya tumbo,hata kufanya kazi pamoja na kusoma nasindwa.
Nisaidieni jamani nifanyeje haya mawazo yasiharibu maisha yangu na yaishe kabisa...!