Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Sasa hako katoto walikopiga nako picha ni kadogo kake nani kati yao, au ni katoto ka mmiliki wa shule....?
Ni mwalimu wao ndugu!ana miaka 22!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hako katoto walikopiga nako picha ni kadogo kake nani kati yao, au ni katoto ka mmiliki wa shule....?
Kaka ni norditropin sio samatrophic>HII DAWA NI KWELI IPO LAKINI SI KWA ADULT.
>Inachokifanya ni kustimulate pituitaly and thyroid gland zizarishe growth hormone iitwayo 'somatrophic hormone'
>Kwa watoto husaidia kurefuka kama wanavyo dai
>Lakini kwa watu wazima usababisha tatizo la 'acromegally'
yaani mtu harefuki ila baadhi ya viungo vyake vinaongezeka unene na upana
mfua kuwa kubwa,miguu na mikono kuwa mipana, n.k
So MTU MZIMA HUSIJISUMBUE.
Dada white najua hii thread ni ya muda mrefu kidogo lakini naomba uni unganishe na huyo rafiki yako na mi nahitaji hiyo sindano nimesha zunguka katika hospitali na kwa madaktari wengi Bongo lakini sija fanikiwaKuna rafiki yangu mwarabu tulisoma nae na alikuwa mfupi enzi hizo ila baada ya kumaliza tukakutana nae siku moja baada ya kupotezana nae aisee ni kweli jamaa alikuwa karefuka balaa anyway nilishangaa sana nikamuuliza akanijibu ni kwamba alipelekwa hospital akachomwa sindano ya kustimulate pituitary gland ndo ikawa hivyo ki ukweli nilishangaa lakini ni kweli hii kitu ipo.
Ina itwaje kakaPia kuna dawa dizain ya majan kutoka china ila inamaumivu
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums