silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,147
- 1,469
Wakuu,
Leo ni kama mara ya tatu kuona tangazo kwenye channel mbalimbali za India zikitangaza kuwa kuna dawa ya kuongeza urefu inauzwa kwa pesa za Tanzania kama laki na ishirini. Yaani wanadai ukitumia dawa basi urefu wako utaongezeka.
Je, kisayansi inawezekana hivi hususan kwa watu ambao ni matured kuongeza urefu kwa dawa ?
Leo ni kama mara ya tatu kuona tangazo kwenye channel mbalimbali za India zikitangaza kuwa kuna dawa ya kuongeza urefu inauzwa kwa pesa za Tanzania kama laki na ishirini. Yaani wanadai ukitumia dawa basi urefu wako utaongezeka.
Je, kisayansi inawezekana hivi hususan kwa watu ambao ni matured kuongeza urefu kwa dawa ?