Dawa ya kuongeza makalio as zawadi nimeombwa.

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,846
16,738
Dunia hii sistaajabu concerning women beauty, kuna dada mmoja yupo ana saloon yake ktk njia ya kuingilia kwangu, ni jirani tuseme, kaniomba zawadi ya dawa ya kuongeza makalio, tena yupo serious, kasema angekuwa na hela angenunua wala asingeniomba au nimkopeshe fedha nikamwuliza kulikoni uhangaike wakati yeye mrembo tu?
Jibu lilinishtua kidogo, eti ana marafiki zake wawili wote walitumia dawa za kuongeza makalio na wakaolewa chapchap, tena si wazuri kama yeye kwa sura, eti yeye angepata T.A.K.O angekuwa na mume wa nguvu, so yeye ana vyote isipokuwa makalio ya Rumbesa kama wanavyoita is very marketable, ushauri plse.
 
Mwambie ajiamini. Makalio sio kigezo cha mwanamke kuolewa. Atulie atapata anayempenda jinsi alvyo. Kwa nini ajinyweshe 'SUMU' kwa sababu ya wanaume?
 
Dunia hii sistaajabu concerning women beauty, kuna dada mmoja yupo ana saloon yake ktk njia ya kuingilia kwangu, ni jirani tuseme, kaniomba zawadi ya dawa ya kuongeza makalio, tena yupo serious, kasema angekuwa na hela angenunua wala asingeniomba au nimkopeshe fedha nikamwuliza kulikoni uhangaike wakati yeye mrembo tu?
Jibu lilinishtua kidogo, eti ana marafiki zake wawili wote walitumia dawa za kuongeza makalio na wakaolewa chapchap, tena si wazuri kama yeye kwa sura, eti yeye angepata T.A.K.O angekuwa na mume wa nguvu, so yeye ana vyote isipokuwa makalio ya Rumbesa kama wanavyoita is very marketable, ushauri plse.

Mkuu kwani ww umeoa?kama hapana msaidie kuliko kutumia hiyo dawa.
 
Dunia hii sistaajabu concerning women beauty, kuna dada mmoja yupo ana saloon yake ktk njia ya kuingilia kwangu, ni jirani tuseme, kaniomba zawadi ya dawa ya kuongeza makalio, tena yupo serious, kasema angekuwa na hela angenunua wala asingeniomba au nimkopeshe fedha nikamwuliza kulikoni uhangaike wakati yeye mrembo tu?
Jibu lilinishtua kidogo, eti ana marafiki zake wawili wote walitumia dawa za kuongeza makalio na wakaolewa chapchap, tena si wazuri kama yeye kwa sura, eti yeye angepata T.A.K.O angekuwa na mume wa nguvu, so yeye ana vyote isipokuwa makalio ya Rumbesa kama wanavyoita is very marketable, ushauri plse.
Mwambie mwanamke nyonga ni makalio
 
Mwambie afanye research yake vizuri. Kuna wengi wana makalio na wapo wapo tu na kuna wasiyo nayo pia wapo wapo tu. Atafute sababu halisi ya yeye kutoolewa siyo anajibu swali gumu kwa jibu jepesi
 
asa si awaombe hao marafiki zake waliiotumia na kuolewa,wenyewe ndio maexpert,kwa nini anakuomba wewe??au umekaa kama muuza makalio???:happy::happy::happy::happy:
 
Kaaaazii kweli kweli!!!
Mwambie hiyo dawa ikidunda hata wewe aliyekuomba hiyo dawa hutamwangalia mara mbili au hutapata hiyo nafasi ya kumwangalia kabisa.
 
asa si awaombe hao marafiki zake waliiotumia na kuolewa,wenyewe ndio maexpert,kwa nini anakuomba wewe??au umekaa kama muuza makalio???:happy::happy::happy::happy:

Jibu ni kwamba ombi la yule dada ni kuolewa nae sema jamaa hajajiongeza
 
Mwambie hiviiii.......kitendawili? tega nikutegue? akijibu vyote mpe Kitendawili...mwenye **** kubwa? jibu lake Made in China...so sio imara...
 
Mwambie afanye research yake vizuri. Kuna wengi wana makalio na wapo wapo tu na kuna wasiyo nayo pia wapo wapo tu. Atafute sababu halisi ya yeye kutoolewa siyo anajibu swali gumu kwa jibu jepesi


NI Kweli kabisa...kuolewa kuna mambo mengi sana ndani,
ingekuwa ni uzuri wa nje tu basi LU SIII K I B A K W E E,
ASINGEKUWA MOJA MWANAMKE......lol
 
Dunia hii sistaajabu concerning women beauty, kuna dada mmoja yupo ana saloon yake ktk njia ya kuingilia kwangu, ni jirani tuseme, kaniomba zawadi ya dawa ya kuongeza makalio, tena yupo serious, kasema angekuwa na hela angenunua wala asingeniomba au nimkopeshe fedha nikamwuliza kulikoni uhangaike wakati yeye mrembo tu?
Jibu lilinishtua kidogo, eti ana marafiki zake wawili wote walitumia dawa za kuongeza makalio na wakaolewa chapchap, tena si wazuri kama yeye kwa sura, eti yeye angepata T.A.K.O angekuwa na mume wa nguvu, so yeye ana vyote isipokuwa makalio ya Rumbesa kama wanavyoita is very marketable, ushauri plse.

MR President ,nawe mgumu kuelewa,
kama umeshindwa kumwelewa huyo mtu mmoja je utaweza kweli kuongoza nchi na kuwaelewa wananchi wote???...
Huyo anataka awe 1st LADY WAKO .....lol,
Ebu mtimizie matakwa yako kijana mwenzio ...lol
 
Mm nina dawa original, haitaji kwenda kwa mchina, nitamjaza ndani ya wiki tu..........! ni PM plz........!
 
Dunia hii sistaajabu concerning women beauty, kuna dada mmoja yupo ana saloon yake ktk njia ya kuingilia kwangu, ni jirani tuseme, kaniomba zawadi ya dawa ya kuongeza makalio, tena yupo serious, kasema angekuwa na hela angenunua wala asingeniomba au nimkopeshe fedha nikamwuliza kulikoni uhangaike wakati yeye mrembo tu?
Jibu lilinishtua kidogo, eti ana marafiki zake wawili wote walitumia dawa za kuongeza makalio na wakaolewa chapchap, tena si wazuri kama yeye kwa sura, eti yeye angepata T.A.K.O angekuwa na mume wa nguvu, so yeye ana vyote isipokuwa makalio ya Rumbesa kama wanavyoita is very marketable, ushauri plse.

Bottom implant op kills hip-hop girl

article-1355080-0D1D5B1E000005DC-144_306x503.jpg


THIS is British wannabe hip-hop star Claudia Aderotimi, who died after an illegal cosmetic procedure to enhance her bottom went tragically wrong. The university student, 20, flew to Philadelphia, US, for silicone jabs to increase the curve of her buttocks. But Claudia, of Hackney, East London, suffered chest pains after the injections and died in hospital. US cops are investigating.

She wanted the jabs because she thought having a bigger bottom would make her FAMOUS, heartbroken pals say. Claudia was desperate to transform her image with cosmetic surgery so she could appear in music videos. Friends revealed her confidence had dipped after she was dropped from a previous promo because her "booty" was too small. But the £1,000 procedure, carried out in a budget Philadelphia hotel, ended in disaster when Claudia suffered agonising chest pains and died.

Talent scout Tee Ali met the university student - stage name Carmella London - when she filmed a video. He said she often wore special padded trousers to give the impression she had a shapelier backside. Tee said: "She was a dancer and choreographer. She loved to dance and had a drive to be famous. The problem was she didn't have no butt, and she wanted a butt. She went to audition for one video shoot wearing fake booty pants and she got all the attention.

"But when they found out it was fake she didn't get asked back. It's such a shame. She's a victim of all these girls trying to be perfect. She thought if she had a big booty she would have been in better videos and been more famous." Claudia is thought to have travelled out last November to have a buttocks enlargement op.

Read more: Brit wannabe hip-hop star Claudia Aderotimi died after her illegal op went tragically wrong | The Sun |News
 
Back
Top Bottom