Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,738
Dunia hii sistaajabu concerning women beauty, kuna dada mmoja yupo ana saloon yake ktk njia ya kuingilia kwangu, ni jirani tuseme, kaniomba zawadi ya dawa ya kuongeza makalio, tena yupo serious, kasema angekuwa na hela angenunua wala asingeniomba au nimkopeshe fedha nikamwuliza kulikoni uhangaike wakati yeye mrembo tu?
Jibu lilinishtua kidogo, eti ana marafiki zake wawili wote walitumia dawa za kuongeza makalio na wakaolewa chapchap, tena si wazuri kama yeye kwa sura, eti yeye angepata T.A.K.O angekuwa na mume wa nguvu, so yeye ana vyote isipokuwa makalio ya Rumbesa kama wanavyoita is very marketable, ushauri plse.
Jibu lilinishtua kidogo, eti ana marafiki zake wawili wote walitumia dawa za kuongeza makalio na wakaolewa chapchap, tena si wazuri kama yeye kwa sura, eti yeye angepata T.A.K.O angekuwa na mume wa nguvu, so yeye ana vyote isipokuwa makalio ya Rumbesa kama wanavyoita is very marketable, ushauri plse.