EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Nilikuwa na tatizo kama lako. Kwa kweli linakera sana. Nilijarinu kutumia creams za aina mbalimbali lakini haukusadia. Nikatumia pia hizi mashine za kunyolea ndevu nazo hazikusaidia. Katika kutafuta solution ya hili tatizo, nilikutana na article fupi kwenye mtandao ambayo iliuliza kama baba/babu yako alikuwa na ndevu alikuwa anatokwa na vipele akinyoa? Kama jibu ni hapana then walikuwa wanatumia vifaa gani kunyoa ndevu zao? Baada ya kutafakari nikakuta kuwa enzi hizo wazee wetu walikuwa wanatumia vitu simple na basic kunyoa na walikuwa hawatokewi na vipele. Tokea nianze kutumia hizo zana sijawahi kutokewa na vipele tena.
Sisi vijana wa siku hizi tunacomplicate mambo sana. Na hii teknologia imeleta zana mpya lakini nyingi naona wanafanya biashara tuu. Inabidi turudi kwenye basics za kunyoa ndevu. Nikipata muda nitaweka hizo bacics hapa. Ila shaving is supposed to be funny. We need to take our time when shaving. Nakumbuka wazee wangu walikuwa wanachukua zaidi ya nusu saa wakinyoa ndevu. Sie kutokana na sababu mbalimbali within 5 minutes kwisha kazi! Hapo mapele lazima yawepo
Sisi vijana wa siku hizi tunacomplicate mambo sana. Na hii teknologia imeleta zana mpya lakini nyingi naona wanafanya biashara tuu. Inabidi turudi kwenye basics za kunyoa ndevu. Nikipata muda nitaweka hizo bacics hapa. Ila shaving is supposed to be funny. We need to take our time when shaving. Nakumbuka wazee wangu walikuwa wanachukua zaidi ya nusu saa wakinyoa ndevu. Sie kutokana na sababu mbalimbali within 5 minutes kwisha kazi! Hapo mapele lazima yawepo