okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,737
Fanya hivi, ukishanyoa paka pilipili saa hiyo hiyo
Mkuu umesahau kuhusu chumvi,maji ya limao na maji ya betri za gari,hatapata ndevu tena!
Fanya hivi, ukishanyoa paka pilipili saa hiyo hiyo
Kwa dar ni sehemu gani iyo huduma inapatikani kwa uaminifulaser treatment inaondoa ndevu wala hazioti tena
Kwakweli sina msaada kwa hilo, ikiwezekana tafuta hata Nairobi.Kwa dar ni sehemu gani iyo huduma inapatikani kwa uaminifu
Wengine wasema ni expensiv na hazitibuKwakweli sina msaada kwa hilo, ikiwezekana tafuta hata Nairobi.
Rafiki yangu alitibiwa na vilikwisha, dr alikuwa mhindi.Wengine wasema ni expensiv na hazitibu
Sehemu gani alienda au ndo NairobiRafiki yangu alitibiwa na vilikwisha, dr alikuwa mhindi.
Kuna dawa za kimasai piahiyo dawa mbona nimeitafuta sijafanikiwa.
ipo maduka gani? au ofis zao zipogi wapi?
maana hapa ndevu zinasumbua balaaa.