Wana jamii naombeni msaada wenu nina tatizo la kukojoa mkojo wa njano sana kwa muda wa miaka mitatu sasa nimekwenda hospitali lakini inaonekana sina tatizo, naomba kujua dawa yake nn wana jamvi. Tatizo hili limekua ni kero kwangu hata ninywe maji mengi vip baada ya muda mfupi tu hali inajirudia tena.