chilamjanye
Senior Member
- Oct 5, 2007
- 110
- 3
DAWA YA KUDUMU MIGOMO VYUO VIKUU YATANGAZWA
Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwaka 2010, Kupitia ilani za vyama vya upinzani pekee yaani CHADEMA na CUF elimu itakuwa bure na kwa hali hii kwa sababu migomo yote vyuo vikuu ilitokana na bodi ya mikopo na watu kutopatiwa fedha za kutosheleza mahitaji kimasomo, Tukichagua wapinzani hatutakuwa na na shida tena mikopo ni historia kwetu na wale tunaodaiwa na hatujaanza kulipa subiri kuanza malipo hayo kwani DR SLAA uleeeeeeeeeeee IKULU nasisi hatutalipa kwani hakuna mantiki ya kulipa mikopo na huku tunalipa tena PAYEE na VAT kwa kila kitu.
Enyi wazazi , enyi VIjana Tusidanganyike. Tukidanganyike Tusilaumiane
Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwaka 2010, Kupitia ilani za vyama vya upinzani pekee yaani CHADEMA na CUF elimu itakuwa bure na kwa hali hii kwa sababu migomo yote vyuo vikuu ilitokana na bodi ya mikopo na watu kutopatiwa fedha za kutosheleza mahitaji kimasomo, Tukichagua wapinzani hatutakuwa na na shida tena mikopo ni historia kwetu na wale tunaodaiwa na hatujaanza kulipa subiri kuanza malipo hayo kwani DR SLAA uleeeeeeeeeeee IKULU nasisi hatutalipa kwani hakuna mantiki ya kulipa mikopo na huku tunalipa tena PAYEE na VAT kwa kila kitu.
Enyi wazazi , enyi VIjana Tusidanganyike. Tukidanganyike Tusilaumiane