Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
ni kujaribu kila kitu chini ya anga, kama yalivyo maua na rangi mbalimbali, na tiba pia hivyo zipo nyingi mno! jaribu kumpigia kwa airtel akuletee tiba haraka, ila kama nilivyokwambia ukiona network si nzuri jaribu pia line mwenza ya tiGo kha! nakutakia uponyaji wa haraka!
bi cacico, wewe hutoi dawa kweli? maana naihis kahoma fulani kwa mbali..nahisi nikituma pm utaleta pozi...
Last edited by a moderator: