ahahaaa hutaki?
Omerta, binti ni mdogo wangu sana kiumri, hivyo kiukweli kabisa, mimi ni kaka yake, na kwa vile siujui umri wake, usikute anaweza kuwa binti yangu!.
Ha ha haOmerta, binti ni mdogo wangu sana kiumri, hivyo kiukweli kabisa, mimi ni kaka yake, na kwa vile siujui umri wake, usikute anaweza kuwa binti yangu!.
Ila mimi pia ni kama hawa mababu wa kisasa, hatunaga mwiko unless ni mwiko!.
Pasco
Omerta, binti ni mdogo wangu sana kiumri, hivyo kiukweli kabisa, mimi ni kaka yake, na kwa vile siujui umri wake, usikute anaweza kuwa binti yangu!.
Ila mimi pia ni kama hawa mababu wa kisasa, hatunaga mwiko unless ni mwiko!.
Pasco
Ha ha... ShikamooOmerta, binti ni mdogo wangu sana kiumri, hivyo kiukweli kabisa, mimi ni kaka yake, na kwa vile siujui umri wake, usikute anaweza kuwa binti yangu!.
Ila mimi pia ni kama hawa mababu wa kisasa, hatunaga mwiko unless ni mwiko!.
Pasco
just imagine mtu badala ajadili mada anakuja kutoa povu huku eti mimi ni mwanaume .hata mfano ningekuwa mwanaume inamuhusu nini? si afanye yake yaliyomleta? wala vumbi kweli ni matatizo kumbe Nyani Ngabu hajakosea .ndo maana jamaa huwa anawachana live maana utoto mwingiWala vumbi wengi wanastress Sana na wivu uliopitiliza kama nyegere
aisee asije akaniachia manyoya huyu brother !Once a soldier, always the Soldier....
CC: Miss Natafuta
hawa wababu wa siku hizi unashangaa unaachiwa manyoya eti !Ha ha... Shikamoo
Ha haa vibabu vya mwendokasihawa wababu wa siku hizi unashangaa unaachiwa manyoya eti !
vinakula pensheniHa haa vibabu vya mwendokasi
Mrembo Miss Nata, usiwe na wasiwasi, mababu tuko wa aina mbiliaisee asije akaniachia manyoya huyu brother !
Pasco siwezi kuwa binti yako labda kama ungenizaa wakati upo primary
utakuwa brother wangu no matter what? kwani mwiko unaondoa ukaka?
Marhaba ila ziwe ni shikamoo za kuheshimiana na sio zilee za kunyimana. ....Ha ha... Shikamoo
Mkuu Ometa, usitishe watoto, zile foleni za mpaka ferry ni zamani, siku hizi tumeisha jizeekea, kwa sasa sisi ni walezi tuu wa wana huku tukicheza na vijukuu.Once a soldier, always the Soldier....
CC: Miss Natafuta
mimi sio muoga ila nina misimamo yangu mikali sana .utu uzima dawa sio rahisi kuniingilia sio rahisiTatizo lako wewe muoga sana.....