Dawa ya chuki ya wala vumbi ni Nyani Ngabu

nikikuuliza unafanya kazi gani huko na haujasoma shule, utasemaje mzee. ni kazi gani hizo unafanya huku mkirudi mnarudi na koti tu na kabegi mgongoni? tumeshakuja kusoma huko tumeishi sana, na ninyi mnatuomba hela na mnatia huruma hadi mbele ya sisi tuliokuja kama wanafunzi. poleni sana.

Kwani dhambi mkiombwa hela nyie? Mbona nyie mnaomba? Kwa hiyo ni sahihi alie ulaya atume tuuuu ila ulie bongo ndo omba omba mpokeaji kila siku??? Mana msipotuniwa ndo mihasira kama mmeuliwa! This proves jinsi wabongo walivyo na mawazo hasi. Kuomba omba damuni.
Ulipokuwa huko ulikoenda uliona pesa zinachumwa kwenye mti na si kufanya kazi km tz na kwamba mtu haruhusiwi kuishiwa?
Acheni hasira za kijinga. Maisha popote.
 
Kuna uzi mmoja joshua_ok aliuanzisha kwamba katika kufanikisha sera ya nchi ya viwanda diaspora tushirikishwe, cha ajabu niliona reactions za wabongo, hasa Lumumba crew ( aka wala vumbi au buku7), wakishusha matusi dhidi ya diaspora sijawahi kuona! Kuna mmoja avatar yake ni picha ya Hitler, huyo jamaa alishusha maneno na matusi kama vile ana laana! Copenhagen DN, alitukanwa na kudhihakiwa mpaka nikamwonea huruma. Mara ana kiingereza kibovu, sijui mara vile, mazagazaga kibao.

Mbona kuna nchi kibao Africa wakuu wake hawajui kiinglish? Kwani kiingereza kitu gani? Mjijibu wenyewe, walavumbi.

Nashauri diaspora yoyote uliyepo humu, kama unataka kuanzisha uzi, maana nimeona walavumbi ni balaa na ni kama wana laana hasa kwa matusi yao hayo, mtag Nyani Ngabu.

Wanamgwaya Nyani kama Van damme wa Sinza! Atawatembezea mkong'oto kwa kadri watakavyojileta mpaka watasalimu amri, hata kama wawe wangapi, na hapo utaendelea kufurahia uzi wako kwa amani.

Wakijifanya wajuaji Ngabu atawanyuka mpaka wakae, sitasahau kuna jamaa alipigwa dongo na Ngabu kuwa kitanda anacholalia yeye na mke wake kina gharama ndogo kuliko breakfast yake katika mgahawa wa West Point, *****, mbona alitoroka uzi!

Wana hasira diaspora hawawatumii tena mizinga yao ya kijinga jinga kila siku wana shida kuomba hela. Wasamehe bure
 
Wana hasira diaspora hawawatumii tena mizinga yao ya kijinga jinga kila siku wana shida kuomba hela. Wasamehe bure
Eti yeye alikuwa anawapa watu hela! Alikokuwa anasoma alikuwa amefadhiliwa kwa hela ya wazungu, naye kajiona ana hela mpaka anawasimanga aliowapa, ukimwuuliza uliwasadia sh ngapi, mbona unaweza kuchoka! Huyo ndio Hute roho mbaya.
 
uzi ni wa kipumbavu sana. Halafu unakuta anayesema haya maneno ni wakiume.... vete a la presentador
 
Asilimia kufa ya watanzania wanaokwenda abroad maisha yamewapiga bongo.wakaamua kukimbia.hata nauli Mara nyingi uwa mmeiba.na mkifika huko shida tupu.kama mngekuwa na maisha mazuri,kazi nzuri na nyumba bongo msingekimbia.
 
achana na wala vumbi nyani .ndo maana unawadharau! wanashupalia identity yangu as if nakula kwao mabwege hawa
muulize Pasco jinsia yangu
We mrembo utaniponza bure kuwaambia watu wanaiulize jinsia yako! . Nitaijuaje jinsia ya mwana jf? . Please let's keep private matters to private.

Mimi Pasco wa JF, sijui jinsia ya Miss Natafuta, ila kwa vile niko very open, siku nikiijua, nitawajia.
Tuendelee na mjadala ulio mezani.
Pasco
 
We mrembo utaniponza bure kuwaambia watu wanaiulize jinsia yako! . Nitaijuaje jinsia ya mwana jf? . Please let's keep private matters to private.

Mimi Pasco wa JF, sijui jinsia ya Miss Natafuta, ila kwa vile niko very open, siku nikiijua, nitawajia.
Tuendelee na mjadala ulio mezani.
Pasco
ahahaaa aya bro i miss you tatizo watoto wengi humu wanasema mimi boy eti ! sijui nawahusu nini? uje na camera kabisa uwawekee picha kaka
 
ahahaaa aya bro i miss you tatizo watoto wengi humu wanasema mimi boy eti ! sijui nawahusu nini? uje na camera kabisa uwawekee picha kaka
Siku hizi hakuna haja ya kuja na kamera simu tuu inatosha. Tutapiga picha za kumbukumbu tuu ila usizipaishe kwa vile sisi wengine humu tuna damu ya kunguni, ukionekana nao tuu, kosa! . Wachumba zako humu wataingia mitini bure, hivyo binti mdogo, mzuri, mrembo, usijiponze kwa kurusha picha za wababu, vijana wataingia mitini.
Pasco
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom