Dawa ni wizara nyeti ziongozwe na wanawake

Nchi hii inapita wakati mgumu katika historia yake.Inashangaza kuona tupo baadhi yetu tunaopata ujasiri wa kufanya mizaha!
 
Sketilisms itakuponza,huon ndo inayomwangusha mkubwa,mwanamke ni kikwazo cha maendeleo anapopewa nafasi kubwa ndo mtamtamkoma
 
Mla kunde husahau haraka sana lakini mtupa maganda................. Mnamkumbuka mwanamama Simba Ulanga?
 
Ili kuondoa ufisadi uliokithiri sasa ni wakati muafaka wizara nyeti kama vile fedha, elimu, maliasili na utalii, ulinzi, tamisemi, kilimo, biashara, maji, nishati na madini, ulinzi, mambo ya ndani, afya, mawasiliano na uchukuzi zishikwe na akinamama UWAZIRI, UNAIBu WAZIRI na KATIBU MKUU. Hiyo itakuwa ni mwarobaini wa kuondoa UFISADI, pia IGP, CDF and MKUU WA TISS, DPP, JAJI MKUU, MKUU WA TAKUKURU zishikwe na akinamama

Kama si chibuku basi gongo. CCM haiwezi kuondoa ufisadi, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Hivi tuwambieje nyie watu wa kazi maalum? Unamkumbuka yule Zakia M madudu aliyofanya? Alikuwa mkemume? Hatutaki tena kusikia, let us SAY, it ENOUGH kwa CCM kuendelea kuua wa TZ!!!!
 
Napendekeza waziri wa Fedha awe Sofia Simba, Nishati na madini Vicky Kamata.
Iwepo
  • wizara ya safari za JK na apewe Vick kamata baadala ya madini,
  • mchakatowa usanii na matusi Rusinde,
  • mapambo na usanii mch. Rwakatare
  • mc na mziki Komba
  • ufumu na uganga Maji Marefu
  • kulaza watoto na mabo ya usingizi Stivine W
 
Jamana, Mbona wanaoleta mada pumba ni wale waliojiunga kuanzia miezi 2 iliyopiata hivi? Naona tunapotezeana muda
 
Timu ya ushindi CCM kuelekea 2015
Waziri Mkuu - Rose Migiro
Waziri wa Fedha Anna Tibaijuka
Ulinzi - Sofia Simba
Mambo ya Ndani - Jenista Mhagama
Utamaduni na Michezo - Vicky Kamata
Nishati na Madini - Stella Manyanya
Kilimo na Mifugo - Dr. Ishengoma
Maliasili na Utalii - Ummy Mwaimu
Utumishi - Hawa Ghasia
Afya - Dr. Nkya
Biashara - Mary Nagu
Uchukuzi - Esther Bulaya

Kwa mtaji huu CHADEMA kimeandaliwa kaburi


Wananaume wote walioiba wanyongwe et au?
View attachment 52899
 
Iwepo Wizara ya Matusi, Kejeli, Dharau, kujiona na Kiburi

Waziri - William Lukuvi
Naibu wa kwanza wa waziri - Lusinde
Naibu wa pili wa waziri - Mukama
Katibu Mkuu - Blandina Nyoni
 
Inategemea wanawake hao wawe ni akina nani. Iwapo wanawake hao watakuwa ni akina Sofia Simba, Anne Makinda, na Getrude Mwongela basi unakuwa hutatatua tatizo kabisa; bali utalikuwa maradufu.
 
Back
Top Bottom