Dawa ni wizara nyeti ziongozwe na wanawake

Ili kuondoa ufisadi uliokithiri sasa ni wakati muafaka wizara nyeti kama vile fedha, elimu, maliasili na utalii, ulinzi, tamisemi, kilimo, biashara, maji, nishati na madini, ulinzi, mambo ya ndani, afya, mawasiliano na uchukuzi zishikwe na akinamama UWAZIRI, UNAIBu WAZIRI na KATIBU MKUU. Hiyo itakuwa ni mwarobaini wa kuondoa UFISADI, pia IGP, CDF and MKUU WA TISS, DPP, JAJI MKUU, MKUU WA TAKUKURU zishikwe na akinamama

Dawa ni kutengua nguvu za mamlaka ya raisi kikatiba na kuipa mahakama nguvu kama ilivyo kwa Pakistan, Ukraine na Philipines. UFISADI ni madhala ya Raisi mtawala kuwa na mamlaka makubwa kikatiba kupita Mahakama na Bunge. SI unaona hivi sasa mahakama wala bunge hazina uwezo wa kulalamikia mafisadi wa EPA, Rishomond, Mikataba ya mibovu ya madini, Radda na ndege washitakiwe?
 
Ha ha ha ha ha! Mmegeukia kigezo cha jinsia? Baada ya muda mtaona pia hakikidhi mahitaji mtatafuta kingine - tujaribu dini labda. Oooh, unajua hawa jamaa dini yao ina sheria kali sana, mwizi hukatwa mikono na mzinifu hupigwa mawe hadharani - tuwajaribu hawa watatusaidia sana.

La msingi sheria zipo; wenye kuzisimamia wafanye hivyo wakishindwa waondoke waachie wenye uwezo. Full stop.
 
Ha ha ha ha ha! Mmegeukia kigezo cha jinsia? Baada ya muda mtaona pia hakikidhi mahitaji mtatafuta kingine - tujaribu dini labda. Oooh, unajua hawa jamaa dini yao ina sheria kali sana, mwizi hukatwa mikono na mzinifu hupigwa mawe hadharani - tuwajaribu hawa watatusaidia sana.

La msingi sheria zipo; wenye kuzisimamia wafanye hivyo wakishindwa waondoke waachie wenye uwezo. Full stop.

Tukumbushane Mustafa Mkulo, Dr. Hadji Mponda, Omari Nundu ni dini gani eti????
 
Dah waungwana mara hii mmeshasahau jinsi Zakia Meghji alivyofanya ufisadi pale wizara ya fedha katika muda mfupi tu aliopewa dhamana ya kuongoza wizara ile.
 
Na yule mama mkwe wa mkuu wa kaya alie wahi kuwaziri wa mali asili alifanya nini?....watanzania inabidi tuamke tatizo siyo ngereja, Pinda, Nundu tatizo ni CCM.....hata mleta mada akipewa uwaziri kwenye hii serikali ya CCM bado atafanya madudu tu mwangalia Tibaijuka na Magufuli....
Kuna akina mama kama Blandina Nyoni ni hatari sana kwa kukwapua mali za umma!
 
Makinda, Kombani, Ghasia, Blandani Nyoni, Dr. Nkya kwa uchache tu, je sio sehemu ya ufisadi na uozo wa nchi hii?Ishu siriaz kama hizi msiilete hoja dhaifu kama hizi za jenda.
 
kwani wanawake ndo sio mafisadi???Mbona Getruda Mongera hadi kule Bunge la afrika kafanya ufisadi mpaka kaitia aibu Tanzania??
tena akina mama ndo kabisa hawafai.kumbuka epa mama megji alivoliWa
 
Ha ha ha ha ha! Mmegeukia kigezo cha jinsia? Baada ya muda mtaona pia hakikidhi mahitaji mtatafuta kingine - tujaribu dini labda. Oooh, unajua hawa jamaa dini yao ina sheria kali sana, mwizi hukatwa mikono na mzinifu hupigwa mawe hadharani - tuwajaribu hawa watatusaidia sana.

La msingi sheria zipo; wenye kuzisimamia wafanye hivyo wakishindwa waondoke waachie wenye uwezo. Full stop.
Na wamesha shindwa, lakini bado wameng'ang'ania sijui hawajui kama wameshindwa...
 
Tukumbushane Mustafa Mkulo, Dr. Hadji Mponda, Omari Nundu ni dini gani eti????

Na sema tena CCM imeoza hata ukimleta malaika hakuna kitakacho fanyika cha maana maana tatizo siyo watu ni mfumo mzima ndani ya CCM na kubadilisha ni ndoto dawa ni kuuonga kabisa hiyo ndiyo itakuwa dawa lakini ukisema tumuondoe Nundu sijui mponda hahahahah ni vichekesho tu........
 
Wanawake WANAWEZA isipokuwa wako SLOW SANA kiutendaji. Mfano hai ukipita kwenye ofisi za kulipa watumishi mishahara zinazoongozwa na wanawake yaani watumishi hawalipwi kwa muda ulioamriwa na Rais wa nchi. Uliza Halmashauri zinazosimamiwa na wanawake yaani nyingi hazijalipa watumishi wake hadi leo. Hii ndo tabu yao ya kushindwa kuwa faster!
 
Ili kuondoa ufisadi uliokithiri sasa ni wakati muafaka wizara nyeti kama vile fedha, elimu, maliasili na utalii, ulinzi, tamisemi, kilimo, biashara, maji, nishati na madini, ulinzi, mambo ya ndani, afya, mawasiliano na uchukuzi zishikwe na akinamama UWAZIRI, UNAIBu WAZIRI na KATIBU MKUU. Hiyo itakuwa ni mwarobaini wa kuondoa UFISADI, pia IGP, CDF and MKUU WA TISS, DPP, JAJI MKUU, MKUU WA TAKUKURU zishikwe na akinamama

Ni kweli unakiamini ulichokiandika au unafanya propaganda? Binafsi nafikiri hapa siyo mahali pake! Zakia Meghji alitufikisha wapi? Akina Sara Simbaulanga walikuwa wanaume kule NBC? Unamwamini sana mama Sofia Simba iwapo atapewa wizara na naibu mwanamke mwenzake pamoja na katibu Mkuu? Anna Kilango naye unamuamini kweli ana nia njema na uongozi wa nchi yetu au ni 'opportunist'? Mary Chitanda naye vipi? Akina Mary Nagu wametufikisha wapi? Anna Makinda anafanyaje huko Bungeni?? I do not think preferential treatment for women will make things any better but worse! We've to be very careful with what we wish for... for we might regreat it. We do not have time to keep regreating our past decisions. It is time for Nation Building... Please, Please, Please.
 
jipange upya! Haukuwepo wakati wa EPA na matokeo yake yanavyotesa mpaka sasa? Ni nani Zakia Meghij a.k.a Mkwe na wizara ya fedha?
 
Ili kuondoa ufisadi uliokithiri sasa ni wakati muafaka wizara nyeti kama vile fedha, elimu, maliasili na utalii, ulinzi, tamisemi, kilimo, biashara, maji, nishati na madini, ulinzi, mambo ya ndani, afya, mawasiliano na uchukuzi zishikwe na akinamama UWAZIRI, UNAIBu WAZIRI na KATIBU MKUU. Hiyo itakuwa ni mwarobaini wa kuondoa UFISADI, pia IGP, CDF and MKUU WA TISS, DPP, JAJI MKUU, MKUU WA TAKUKURU zishikwe na akinamama

by.mwanakidagu.
Lilombe.usikurupuke kuleta post isiyo na mashiko.
Jipange.humkumbuki zakia yule mwana mama aliyepewa dhamana ya kutunza pesa zetu! Kama waziri wa fedha .mambo akiyofanya! .ndani ya ccm hakuna msafi.si cha wanawake. Umefanya utafiti gani.na sampuli ya watu wangapi waliojaza na kujibu aina ya maswali uliyoyaweka ku prove.kauli yako. Na mifano hai ndani na nje ya tanzania.kwamb ufisad ulipokolea katika mataifa hayo wakawapa wanawake then wakatokomeza ufisad ama hata kuupunguza tu. Jipange.kama huna hoja pita tu sio mbaya.
 
Back
Top Bottom