thanks Tangawiz, ntafanyia kazi hiloThe best way to burn stored body fat is to have activities with excessive intake of oxygen...ndio maana zoezi linatangulizwa mbele zaidi na mengine ni supplement, unless kama huwezi kufanya mazoezi. I suggest you put yourself kwenye program za mazoezi
Mtafuteni Gardner G. Habash ana kahawa alipewa China, ndani ya siku tano kitambi kwishney[/QUOTE.] izo dawa za kichina duh !
Jaman habari ya leo, natumain mko pouwa. Naomba msaada nifanye nin kupunguza tumbo/kitambi? Nashukuru kwa mawazo yenu.
Kunywa konyagi kama maji pindi unapohisi kiu
distazo nimeshuhudia mtu wa karibu alikuwa anafanya zoezi hilo alipoaacha tu.....tumbo hilo likaanza kutoka...........wht did u observe?
zamani nlidhani tumbo langu ni la bia, nikahamia kwenye konyagi, nikipiga ile kitu nakula kama nimeambiwa kesho madukani kutakuwa hamna chakula tena.