Pia punguza kula chakula kingi usiku...! Kwa vile usiku watu huwa tunalala, hatuhitaji calories nyingi, hivyo ni busara kupunguza chakula unachokula haswa wakati wa usiku...!
Pia jitahidi walau kutembea au kufanya kazi za mikono walau kila siku kwa muda wa dk 30.
asante mkuu,fasting nadhani wengi tumeshindwa kuipendekeza kwa vile ni ngumu kwa watu wengi na pia mtu anapo kaa bila kula kitu chochote kwa mda mrefu inafanya mwili uifadhi mafuta hili kumsaidia mtu kumiliki kuishiwa nguvu kutokana na njaa.na ndio ikapendekezwa mtu apate milo mingi midogo midogo kwa siku hii inafanya mwili uunguze calories zaidi.Msolo,
Umepata ushauri mwingi sana hapa..sasa ufanyie kazi halafu urudi baada ya muda utoe feedback.
Kuna rai moja sijaiona kutajwa hapa...fasting...unajua kuwa fasting ikiendana na kupunguza mlo mnene, yaani sahani mbili za wali, ugali, bia, nk na chips yai,kuku basi within a week utaona tofauti...
kufunga wanatumia wanadini sana..lakini ipo pia kufunga for health reasons, funga hii itakufanya uwe unajitathmini wewe kama binadamu na afya yako.Psychologically, ukiweza kukaa masaa 9/10 bila kula au kunywa basi utapata fikra za kuheshimu chakula na mwili wako na utajaribu kubalance mambo.
lakini kubwa inatakikana ari, will ya wewe kutaka kupunguza uzito na unene ulionao. If there is a will there is a way!
Good luck!
Nahitaji msaada wa jinsi ya kuweza kupunguza uzito na unene,
Helpppppp