Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
Mkuu mheshiwa JF Doctors,
Nimeambiwa kuwa mgonjwa wa Kisukari (Diabetes Mellitus) Type I anahitaji kupewa dawa kwa kuchomwa sindano ya Insulini mara kwa mara.
Shida yangu ni kuwa kuna minong'ono inasema kuwa dawa hii hutokana na insulin ya Nguruwe. Swali langu kwenu Je ni kweli?
Na kama ni kweli na kama ni kweli wagonjwa huambiwa asili ya hii dawa kabla hawajapewa kutumia? Na kama nimeambiwa na mimi nikiamua kuikataa (kwasababu zangu mwenyewe nje ya sabababu za kiafya km Vile za kidini)
Je kuna tiba mbadala?
Nimeambiwa kuwa mgonjwa wa Kisukari (Diabetes Mellitus) Type I anahitaji kupewa dawa kwa kuchomwa sindano ya Insulini mara kwa mara.
Shida yangu ni kuwa kuna minong'ono inasema kuwa dawa hii hutokana na insulin ya Nguruwe. Swali langu kwenu Je ni kweli?
Na kama ni kweli na kama ni kweli wagonjwa huambiwa asili ya hii dawa kabla hawajapewa kutumia? Na kama nimeambiwa na mimi nikiamua kuikataa (kwasababu zangu mwenyewe nje ya sabababu za kiafya km Vile za kidini)
Je kuna tiba mbadala?