Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Unakuta mwanaume ana nyumba ndogo na jamaa anaelekea kuitelekeza nyumba kubwa(yaani mke wa ndoa) baada ya kuuliza inakuwaje hivi unaambiwa jamaa kalishwa dawa, hivi hizi dawa gani na kweli zipo? na wewe mlengwa utagunduaje umeshalishwa?naomba kuwasilisha wanajamvi.