dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Ni ukweli usiopingika kuwa Watanganyika kwa mda mrefu sasa tunatumiwa kama sample za majaribio kwa madawa yanayotengenezwa na 10% za wanasiasa wetu. Kwa sababu karibu kila waziri anayekuja hutangaza dawa zake na kwa kuwa nami ni sample mojawapo niliikubali sana Dawa mseto ya malaria ya kwanza kabisa iliyokuwa inatoka Marekani na ilikofia na tumechakachuliwa na kuletewa ya Kichina toka India ni ukweli usiopingika kuwa haitibu bali inapooza malaria
Na kwa taarifa ya leo ktk gazeti la Nipashe kuwa dawa feki za malaria zimeingizwa nchini ni wazi ni dawa za wakubwa tunaokufa ni sisi Kama kweli wahisani na serikali wana nia ya kutokomeza malaria kwa nini tusitibu chanzo?
Na kwa taarifa ya leo ktk gazeti la Nipashe kuwa dawa feki za malaria zimeingizwa nchini ni wazi ni dawa za wakubwa tunaokufa ni sisi Kama kweli wahisani na serikali wana nia ya kutokomeza malaria kwa nini tusitibu chanzo?