Ukweli1
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 550
- 333
Hii dawa nimeiona kwa page ya mtu nikaona nilete JF Doctor labda kuna mtu atasaidika sijui chochote nimecopy na kupaste namuita babu MziziMkavu ili kama ni sumu akemee mapema aliyepost katumia na kashuhudia kapata watoto pacha na kuna baadhi ya marafiki zake wako kwa process ya kutumia.
Nanukuu
"hili kwa wale wenye matatizo ya uzazi sana sana wenye mirija iliyoziba hawawezi kupata ujauzito wafahamu NUNDU, MAINI na NGESI ni dawa tosha la kufumbua tatizo? nunua nundu iliyo jaa sana mafuta robo kilo na maini robo kilo katakata vipande vidogo vidogo usivioshe kwa kuwa haitakiwi kuwa na maji vichanganye kwenye sufuria moja ongeza chumvi kidogo sana kwa ajili ya radha nunua ngesi nadhani inauzwa 3000 kijiko kimoja cha chakula na inapatikana kwa wamasai iko kama mbegu za bamia ila rangi ya kahawia weka ndani ya mchanganyiko wako pika kwa moto mdogo na uwe unageuza geuza mpaka maini yatoe maji na nundu itoe mafuta viive kabisa. kula baada ya kumaliza mp then hesabu siku 15 rudia tena kula"
Nawatakia mafanikio mema wale wote wanaotafuta watoto.
Nanukuu
"hili kwa wale wenye matatizo ya uzazi sana sana wenye mirija iliyoziba hawawezi kupata ujauzito wafahamu NUNDU, MAINI na NGESI ni dawa tosha la kufumbua tatizo? nunua nundu iliyo jaa sana mafuta robo kilo na maini robo kilo katakata vipande vidogo vidogo usivioshe kwa kuwa haitakiwi kuwa na maji vichanganye kwenye sufuria moja ongeza chumvi kidogo sana kwa ajili ya radha nunua ngesi nadhani inauzwa 3000 kijiko kimoja cha chakula na inapatikana kwa wamasai iko kama mbegu za bamia ila rangi ya kahawia weka ndani ya mchanganyiko wako pika kwa moto mdogo na uwe unageuza geuza mpaka maini yatoe maji na nundu itoe mafuta viive kabisa. kula baada ya kumaliza mp then hesabu siku 15 rudia tena kula"
Nawatakia mafanikio mema wale wote wanaotafuta watoto.
Last edited by a moderator: