Davos: Kwa nini Tanzania ilikwepa hoja ya Sir Tim Berners-Lee

Moseley

Senior Member
Jul 10, 2010
187
94
Ni kwanini JK alikwepa kujibu hoja ya Sir Tim Berners-Lee wa W3C kuhusu IT technology in Education huko Davos? Au ndo kusema we still manufacturing teachers and textbooks?? Una maoni gani kuhusu mtizamo wa serikali juu ya IT? Je, serikali ya Tanzania iko tayari kweli ku invest kwenye IT kama ilivo Rwanda au ndo tumezoea vitu vya manual? Hatuoni kwamba IT ni sehem mhimu ya kuiunganisha Tanzania na kupunguza gharama zisizo za msingi?

Badala yake karukia kwenye swala jingine ambalo nalo kayakoroga na kusababisha Mele Zenawi ku mchallenge?

Check hii video kuanzia dakika ya 41 na sekunde 18



Ilikua hivi:

  • Sir Tim Berners-Lee wa World Wide Web aliitwa kuja kuelezea (41:18 hadi 42:58) ni namna gani Africa itatumia web kama namna ya ku promote Economic development .. Baada ya hapo, Gordon Brown akaisisitiza (42:58 to 43:16) hiyo point na kumtupia JK kuwa ni kwa namna gani wanaweza tumia IT technology in Education ukilinganisha kwamba watoto zaidi ya million 35 hadi 40 hawako shule.. So, ni kwa namna gani wataweza tumia IT ku push gurudumu la maendeleo.
  • _______
  • Badala yake mkuu karukia swala jingine la kuhusu Infrastructure kwa kuwavutia wawekezaji wamfate waweke mambo sawa kuhusu deals.. Hata hivyo point yake kuhusu Infrastructure imekua challenged na Mel Zenawi ambaye amesema kuwa the Washngton policy on Africa infrastructure will not work, maana policy hiyo inasema "Private sector ndo zipewe kazi ya infrastructures na si Public sectors" , badala yake amesema inafaa "Sehemu kubwa ya utengenezaji wa Infrastructure Ipewe Public sectors na kinachobaki Private sectors"
  • Swali langu kuu, ningependa kujua Rais wangu alijibu nini kuhusu IT? au ndo swali liliwekwa kapuni?
 
Last edited by a moderator:
Hajaongelea mkuu. Karuka ruka tu yaani anajibu swali la nyuma sana. na majibu hayako sawa kabisa
 
Sasa nyie mnaosema Mkweree anaandamwa bure ,mmewekewa hiyo clip mumsikilize wenyewe jinsi huyu bwana alivyomtupu; anaulizwa swali la elimu anarukia mambo ya miundombinu wapi na wapi? Oooops nchi imeliwa!!!
 
Tokea mwaka wa jana mwezi wa pili utagunduwa kuwa speed ya intanet na hata mitandao ya simu ina problems. Serkali imepunguza bandwidth sababu kama ikiwachiwa wazi basi wanadhani panaweza pakafanyika kama Misri. Hapo mwanzo internet ilikuwa fast na sasa iko slow.

Lazima awe na kigugumizi. Anafahamu kuwa wapo waTZ wanamuangalia LIVE. Wako wanaomwangalia kwenye coridors za hoteli yake na wapo ambao wanamfwatilia hata akiwa Airport. Technology. Kama wangejuwa!!!!!! Wangewachia tu kwani slow connections zina ruhusu hacking kwa urahisi zaidi.
 
Aibu tupu huyu mtu hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba 10, anachowaza yeye ni deals tu za kupata 10% ya Riz1. Haoni hata aibu kuzungumzia mambo ya deals badala ya kujibu swali ametoka nje ya mada. Aibu kwa Taifa kuwa na Kiongozi kama huyu. Akili yake na mawazo yake yamekaa kwenye deals za rushwa, hana anachofikiria zaidi ya kujitajirisha yeye.
 
Sasa nyie mnaosema Mkweree anaandamwa bure ,mmewekewa hiyo clip mumsikilize wenyewe jinsi huyu bwana alivyomtupu; anaulizwa swali la elimu anarukia mambo ya miundombinu wapi na wapi? Oooops nchi imeliwa!!!

Anasema We are manufacturing teachers, ameniwacha hoi :lol: badala ya kusema ku-training them, kweli Kikwete analiaibisha Taifa kwa umbumbumbu wake sio lazima kuzungumza English hata Swahli pia ni lugha
 
Watch out Ouko alienda safari akampiga bao Moi aliporudi was sent home and later to heaven by force.
 
Back
Top Bottom