Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
umetoka wapi huku. tunaomba comments nyingine zisiruhusiwe kwahi kula ua kuto kula ni imani ya mtu. sasa imani na siasa , hasa za tanzinia wapi na wapi?
Mroho utamjuwa tu...
umetoka wapi huku. tunaomba comments nyingine zisiruhusiwe kwahi kula ua kuto kula ni imani ya mtu. sasa imani na siasa , hasa za tanzinia wapi na wapi?
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
Dr. siame kaendelee na kazi yako ya udaktari bingwa wa macho kwani ulilikanyaga mwenyewe kwenye siasa.
alikuwa anawahi kuanzisha sredi...dili siku hizi hapa jf...!Unakiherehere mno cha kuandika mpaka umechanganya heading. Nway asante kwa updates.
Breaking Newzz:Nako huku Mbeya Makama kuu imetupilia mbali hoja za Dr.Luca Siame alizofungua kesi ya kupinga Ushindi wa Jimbo la Mbozi Magharibi.
Mhe.David Silinde ameshinda kesi hiyo hii leo.
Uhuru na Haki katika Utendaji wa Mhakama bado unaendelea katika Kesi za Uchaguzi......!!!
Badilisha heading yako.
Mpaka sasa matokeo ni 5-2
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
Breaking Newzz:Nako huku Mbeya Makama kuu imetupilia mbali hoja za Dr.Luca Siame alizofungua kesi ya kupinga Ushindi wa Jimbo la Mbozi Magharibi.
Mhe.David Silinde ameshinda kesi hiyo hii leo.
Uhuru na Haki katika Utendaji wa Mhakama bado unaendelea katika Kesi za Uchaguzi......!!!
Ahaaaaa, leo ndiyo nimefahamu unafiki wa wana Chadema hapa jukwaani, kumbe kwenu haki ni pale Chadema wakipewa jimbo, ila kwa Ccm(Mahanga) inakuwa haki haijatendeka?.
.
"Ama kweli nazidi kuamini kuwa WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)