David Mwaibula, aliyebuni mistari ya daladala Dar es salaam yupo wapi?

Mwaibula was one of the hopeless people. Alikuwa na siasa za design ya Makamba, hakuna lolote la maana alilofanya. Tatizo la usafiri kuwa shaghalabagala Dar es salaa haliwezi kushughulikiwa kwa kupaka magari rangi, kunatakiwa njia yenye akili zaidi kama wanazotumia wenzetu wa nchi zilizoendelea. Sioi Mwaibula style, na akienda Iringa huenda atapiga kelele kelele tu, naona anfaa kufanya kazi ofisi moja na Makamba!

Wewe lazma una matatizo na huyu baba; kupanga rangi ni sawa, we need to mark haya magari ili kusaidia control na monitoring yake; hilo la ku-suggest ati atumie akili kama za majuu nadhani umefuka big time!! akili alizotumia hata majuu hamnazo....

Kumbuka he had to work within the circumnstances, yaani hakuna barabara mpya, hakuna support ya ziada kifedha na population was increasing; he did a ery good job and at least he know hali halisi ya dar na adha ya usafiki in person

Unless unataka kutuambia kwamba ungefanya vizuri zaidi... which i doubt!!!
 
Jamani kama ni pongezi yule baba wa watu anastahili,alifanya kazi nzuri sana,panapostahili pongezi tutoe pongezi,na sio kuanza kusema ooo hopeless sio vizuri hivi jamani,haipendezi.
 
Jamani kama ni pongezi yule baba wa watu anastahili,alifanya kazi nzuri sana,panapostahili pongezi tutoe pongezi,na sio kuanza kusema ooo hopeless sio vizuri hivi jamani,haipendezi.

Thanks Mkuu, this is what we need; encouragement!!!
 
Bongolander sidhani kama unamtendea haki Mwaibula kwa kulinganisha mfumo wa usafiri Tanzania na nchi zilizoendelea wakati akiwa madarakani. Ungetathmini 'u-hopelessness' wake kwa kulinganisha hali ilivyokuwa nzuri au mbaya kabla hajaingia madarakani na hali ilivyokuwa wakati anamaliza muda wake. Kuilinganisha Tanzania na nchi zilizoendelea katika hili ni sawa na kumlinganisha tembo na sisimizi.

Thanks sana tu, umenena wallah!!!

sometime tuna-compare oranges with cigarettes!!!
 
Wewe lazma una matatizo na huyu baba; kupanga rangi ni sawa, we need to mark haya magari ili kusaidia control na monitoring yake; hilo la ku-suggest ati atumie akili kama za majuu nadhani umefuka big time!! akili alizotumia hata majuu hamnazo....

Kumbuka he had to work within the circumnstances, yaani hakuna barabara mpya, hakuna support ya ziada kifedha na population was increasing; he did a ery good job and at least he know hali halisi ya dar na adha ya usafiki in person

Unless unataka kutuambia kwamba ungefanya vizuri zaidi... which i doubt!!!
MKUU, SEMA WEWE maana.......
 
binafsi nilikua namkubali sana huyu jamaa, alibuni huu utaratibu wa dala dala mpaka watu kutoka nchi nyingine wakaja kuiga kwetu. Nimeamini nabii hakubaliki kwao, kama bongoland alivomkashifu
 
Thanks sana tu, umenena wallah!!!

sometime tuna-compare oranges with cigarettes!!!
Ha ha ha Mkuu nimecheka sana maana watu wanapost irrellevancies.
Mwaibula alifanya kazi within the bongo beureucratic circumstances na alifanikiwa, hata kama ni kidogo.
Kulinganisha bongo na majuu haina mantiki.
 
Mwaibula was one of the hopeless people. Alikuwa na siasa za design ya Makamba, hakuna lolote la maana alilofanya. Tatizo la usafiri kuwa shaghalabagala Dar es salaa haliwezi kushughulikiwa kwa kupaka magari rangi, kunatakiwa njia yenye akili zaidi kama wanazotumia wenzetu wa nchi zilizoendelea. Sioi Mwaibula style, na akienda Iringa huenda atapiga kelele kelele tu, naona anfaa kufanya kazi ofisi moja na Makamba!

Umechemsha
 
Hii ni bongo. Ukitaka kutolewa kafara basi uwe mchapa kazi katika kundi la wapiga domo na wavivu. Haya ndiyo yaliyompata Mwaibula, alikuwa kiongozi siyo mtawala na ndiyo maana alisimamia alichosema. Labda hana godfather katika hii nchi iliyojaa nepotism.

Huyu jamaa labda humfahamu vizuri. Kuna mambo alijitahidi lakini pia alikuwa na mtandao wa rushwa wa ajabu. Kwa juu juu utamuona kama kiongozi wa mfano lakini nilikuwa dissapointed siku moja nilipoenda kutafuta leseni. Kulikuwa na kubao kikubwa mlangoni mwake (font kama 10,000 hivi) iliyoandikwa 'Hakuna Rushwa Hapa" na wakati huo huo alikuwa na watu wake pale nje wanaowadaka watu na kuwataka watoe kiasi fulani cha hela ili upate lesseni. Bila hivyo unaambiwa njia zote za kawaida zimejaa na wanabuni njia za ajabu ajabu ambazo hazipo (mfano walitaja Magomeni-Kivukoni kupitia Kinondoni makaburini, Sarender Bridge & Ocean Road ambako wala watu hawaishi) ilimradi tu uigine kwenye line.

Kuna msafi bongo? Labda waliozaliwa 2009.
 
Huyu jamaa labda humfahamu vizuri. Kuna mambo alijitahidi lakini pia alikuwa na mtandao wa rushwa wa ajabu. Kwa juu juu utamuona kama kiongozi wa mfano lakini nilikuwa dissapointed siku moja nilipoenda kutafuta leseni. Kulikuwa na kubao kikubwa mlangoni mwake (font kama 10,000 hivi) iliyoandikwa 'Hakuna Rushwa Hapa" na wakati huo huo alikuwa na watu wake pale nje wanaowadaka watu na kuwataka watoe kiasi fulani cha hela ili upate lesseni.

baada ya kuona hiyo mizengwe ulichukua hatua gani ili kufanya uovu huo ufahamike?au uliishia kuamini kuwa ni vijana wa mwaibula wanafanya hayo kwa niaba yake?
 
baada ya kuona hiyo mizengwe ulichukua hatua gani ili kufanya uovu huo ufahamike?au uliishia kuamini kuwa ni vijana wa mwaibula wanafanya hayo kwa niaba yake?

Hatua niliyochukua ni kutoa taarifa.. Nina akina na wengine wengi pia walitoa ... na hii ilichangia kuanguka kwake (Systems za haki bongo bado zinafanya kazi - hazijafa). Nimetoa ushuhuda... kuamini kunakujaje hapa.
 
Hatua niliyochukua ni kutoa taarifa.. Nina akina na wengine wengi pia walitoa ... na hii ilichangia kuanguka kwake (Systems za haki bongo bado zinafanya kazi - hazijafa). Nimetoa ushuhuda... kuamini kunakujaje hapa.

Hongera sana
 
Hongera sana, that was cynical enough... no wonder we wtill have rostam, EL, vithlani, somaiya et al enjoying the systems

Haki haipatikani mahakamani, takukuru au polisi tu..
 
Haki haipatikani mahakamani, takukuru au polisi tu..

kwahiyo uliposema systems za haki bongo hazijafa ulimaanisha zipi hizo kama takukuru,mahakama,na polisi sio?

Systems za haki bongo bado zinafanya kazi - hazijafa

hizi ni zipi kama hizo hapo juu sio mojawapo ya system za haki bongo?
au kuna DON CORLEONE bongo ambaye hatumjui?
 
Hii ni bongo. Ukitaka kutolewa kafara basi uwe mchapa kazi katika kundi la wapiga domo na wavivu. Haya ndiyo yaliyompata Mwaibula, alikuwa kiongozi siyo mtawala na ndiyo maana alisimamia alichosema. Labda hana godfather katika hii nchi iliyojaa nepotism.
Kiongozi nakubaliana na wewe kabisa,huyu bwana madereva na makonda wa daladala alikuwa amewabana kiasi wakiliona Benz lake tu wanaanza kuhangaika kama kuvaa uniform zao,kupunguza speed,madereva wa daladala walikuwa wanamuogopa zaidi wanavyowaogopa Traffic polisi!!!
 
Kuna kipindi kulikuwepo na mkanganyiko wa huduma ya mabasi ya abiri maarufu kama daladala katika jiji la Dar kutoka kusikojulikana akatokea David Mwaibula ambaye si kwamba alibadilisha njia za daladala kwa staili ya aina yake bali aliweka nidhamu ya hali ya juu kwa wafanyakazi wa daladala ambao kwa kawaida ujali zaidi mapato kuliko wateja wao Mwaibula alifuatilia mwenye daladala zizokuwa zinakiuka taratibu za kazi zao nadhani watumiaji wa daladala walinufaika sana na umahiri wa kimkakati wa Mwaibula Sasa hivi kuna Sumatra badala yakufanyakazi wanaweka madalali matokeo yake daladala zinafanyakazi kiholela kukatiza route kupandisha nauli kuwazuia wanafunzi kupanda magari yao nk Wadau wa JF nauliza Mwaibula alishia wapi je hawezi kurudi kutanzua matatizo makubwa yanayokabili jiji la Dar nawakilisha
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom