David Mathayo David wasifu wako ndio huu. Ya nini kuwadanganya Watanzania?

lazima wewe unamfahamu vizuri na pia ulisoma naye sua. Kwa jinsi ulivyoeleza haiwezekani source ikawa waliosomanaye maana ni 99 % true. Namfahamu matayo ingawa siyo rafiki yangu na huyu bwana ni kweli at one time alikuwa pretoria msc in animal science na alikuwa anafanya thesis na pia ana mpango wa register for phd free state wakati anamalizia. Ila kitu ambacho siwezi kuthibitisha kama alimaliza hiyo phd degree program yake maana sijaona publication yeyote kwenye google yenye jina lake. Kawaida vyuo vya rsa huwa vinapublish thesis kwenye mtandao. Halafu kitu kingine huwezi kugraduate phd rsa bila kupublish paper!! Sasa unaweza ku-google ili kuthibitisha hilo baada ya kuandika hisia zako na kjalibu kumchafua mtu bila sababu.

though free state is also not an accredited university!
 

Aisee wanafanana bana+

Msuya(2).jpg
 
Lakini wamefanana na Cleopa Msuya. Sasa ambao hawana shangazi wala mjomba watafika kweli?
 
Mbona Mrema aligombea Temeke? Kwani Temeke ni nyumbani kwake? Jenga hoja acha ungedere VIMA (Kinyume cha hilo neno).
Haya, Makubwa: Kumbe DMD (David Matayo David) ni DCM (David Cleopa Msuya)? Hizo ndizo tabia za magamba. Msishangae!
 
hajawahi ku repeat mwaka ....muwe wakweli bwana....mmesema hana MSc haya thesis imewekwa hapa mmehamia kwenye mambo ya ku disco...

Uliza watu waliosoma naye SUA? Kama wewe ni katibu wake ahabari ndiyo!

Sasa kanusha basi na hilo la kutapeli wanafunzi wa SUA kuhusu SCHOLARSHIP?
 
Blood Hurricane
Sikumbuki kama alisoma TOSAMAGANGA kwa mwaka uliotajwa ila nakumbuka katokea KIBAHA alikuwa akisoma CBA, Na alijiunga na SUA mwaka 1992 kusomea shahada ya udaktari wa mifugo (BVM). Na ndo wanachuo wa kwanza kuanzia kusomea Mazimbu campus mwaka 1992 kama sehemu ya SUA, hadi mwaka 1992 walipopelekwa main campus.Kuna mgomo ulitokea SUA mwaka 1992 siri nyingi za wanafunzizilikuwa zikivuja ya wezekana kweli alikuwa akihusika kuzivujisha kwenye system maana babake alikuwa bado kwenye system!Kweli alikuwa na redio na TV set ila si kwamba ndo alikuwa mwanafunzi mwenye TV na redio pekee chuoni, bali ma'foreigners'au wanafunzi wa kigeni kutoka Uganda na Rwanda walikuwa na hivi vitu.Ila Tosamaganga bweni la MWENGE sikuwahi kumwona! wakati huo nilikuwa kidato cha sita na nilikuwa kwenye bweni hilo ,hii sura nimeikuta SUA na sio TOSA!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna ubishi,huyu ni mtoto kamili wa mzee Cleopa Msuya wa nje ya ndoa,watu wa karibu na Msuya wanajua hivyo,lakini kwa heshima aliyonayo Mzee Msuya kikanisa(Lutheran) na kikabila(kipare) katu mzee Msuya hawezi kuliweka wazi. Kama mnabisha mwambieni ututajie baba yake ni nani?
 
Kuna maneno mtaani eti ni mtoto wa nje ya ndoa kwa mzee Cleopa David Msuya ndio sababu ya wazee kumkataza kutumia jina la ukoo katika siasa asije kuharibu sifa na heshima ya baba yake

Naam, hii yawezejana sababu akiwa JKT Itende (1991/92) alikuwa pia na Mtoto mwingine wa mzee Msuya aitwaye Job. Huyu ni mtoto wa Mke wa mzee Cleopa. Wakati ule ilikuwa Kambi ya SHUSHI kwa hiyo Watoto wa Vigogo walipelekwa kule. Na kule walipewa kazi za "Maselule". Kwa mfano Job alikuwa KARANI wa Kombania wakati Matayo alikuwa KARANI kule Ofisi kuu!
 
Teeh teeh teeh kama ni kamari mmeshaibiwa tayari. Matayo na TOSAMAGANGA wapi na wapi,Pia Matayo na CBG wapi na wapi. Hiki chanzo hakiaminikiTake it from me kuna mengi ya uongo juu ya Mheshimiwa huyu
 
Yaani ni ajabu, leo kabla ya kurudi nyummbani jioni, tulikuwa tunajadili hayo uliyoyaandika. Kuna kijana anayetoka Same karibu na familia ya David Mathayo alitueleza mambo mengi yanayofafa na haya.

Kuna binti aliwahi kureseat masomo ktk centre yangu anadai ni mtoto wa David Mathayo lakini leo nikaambiwa David hana mtoto mkubwa aliyemaliza F. IV;

Tutamfahamu
 
Jina
Jina la kwanza ni Mathayo David Msuya. Ila baada ya kuingia anga za siasa, aliamua kulibadili jina lake kuwa Mathayo David Mathayo na kuondoa jina la ukoo "Msuya" ambalo ni jina la baba yake halisi David Msuye aliyewahi kuwa waziri mkuu.

Masomo
Matayo David Msuya alisoma Tosamaganga Iringa, alifanya CBG (1989-91) aliishi bweni la Mwenge. Uwezo wake wa kimasomo haukuwa mkubwa ila alishangaza wenzanke na waalimu alipopata daraja la kwanza kwa pointi 7. Alipata msaada sana kutoka kwa kaka yake aliyekuwa akifundisha chuo cha ualimu Mkwawa, Iringa.

Matayo ulikwenda JKT itende, Mbeya. Baada ya hapo, alichanguliwa kwenda kusoma Makerere Uganda kwa kupitia mfuko wa mwalimu Nyerere. Mathayo alinufaika kwa fedha hizo ila hakwenda Uganda, akaamua kusoma SUA ya tiba ya mifugo (Bachelor of Veterinary Medicine) mwaka 1993-1997. Huko SUA Matayo alikuwa ni mwanafunzi pekee aliyekuwa na radio yenye double deck, (system) na TV set.

Uwezo wa kifedha ulisaidia kumpa Mathayo maisha ya kifahari chuoni SUA ambapo alikuwa na wasichana kadhaa ikiwa ni pamoja na Mugros na Betty Manase

Mwanzo wa siasa
Siasa alizianza rasmi mwaka 1995 alitumia TV yake kwenda kuonyesha vijijini madhara ya vyama vingi, alitumia mapigano ya Rwanda na Burundi kama kutishia wananchi wasikubali upinzani na kipindi kile wananchi walikuwa wepesi kuelewa kumbuka TV hazikuwa nyingi Tanzania kipindi kile. Alijijengea umaarufu sana ndani ya chama mkoani Morogoro na kitaifa.

Aligombea ujumbe wa NEC mkoa wa Morogoro kundi la vijana alishinda. Mathayo alimaliza SUA 1997 na kupata kazi ya kufundisha chuo kimoja huko Serowe Botswana. Kwa kuwa mjumbe wa NEC alikuwa karibu na akina Lowasa, JK na vingunge wengine aliweza kuwa anaonana na akina Makamba na akawa ni mwanamtandao. Wakati huo Matayo alikuwa akirudi Tanzania kufanya shughuli zake za kisiasa wakati bado ni mwajiriwa wa serikali ya Botswana.

Kwa mfano wakati mmoja alirudi Tanzania na kuwahamasisha wanafunzi wa SUA (kama 200 hivi) na kuwapeleka Dodoma kupokea kadi za CCM chini ya mwenyekiti wa CCM Mkapa. Wanafunzi walahidiwa wangepatiwa ajira kwa kufanya hivyo. Hii ilimjenga sana Matayo ambaye aliisha kuwa maarufu kwenye ofisi za chama Dodoma, kama mjumbe wa NEC na mkutano mkuu.

Mwaka 2000 aligombea Ubunge Same Magharibi na kushinda na kuteuliwa kuwa waziri mdogo. Wakti huu aliisha tamka kwamba amesomea Afrika Kusini digrii ya falsafa (PhD). Prof Msolla wakati aliyekuwa waziri wa elimu ya juu na sayansi ambaye aliwahi kufundisha SUA alimjua sana Matayo na alimwita Matayo na kumuuliza kuwa PhD alifanya lini na wapi na pia aletee PhD thesis yake. Prof Msolla alisema "Matayo aliogopa sana na alikili mbele yangu, kuwa Prof mimi nimetumia hii title kisiasa zaidi, sina MSc wala PhD"1.

Kashfa ya vyeti bandia

Dr Mathayo ni mmoja wa wabunge vijana waliochaguliwa na Raisi Kikwete kuwakilisha ngwe yake ya "Nguvu mpya" kama naibu waziri. Katika awamu hii Kikwete alionekana amechagua vijana wenye vipaji na elimu. Vyeti vya Mathayo's zimeleta kizaazaa tangu alipochaguliwa kwenye uwaziri mwaka 2005. Matayo alihitimu chuo kikuu cha Kilimo (SUA) mwaka 1997 kama daktari wa mifugo. Baada ya hapo alitoka nje ya nchi kwenda kutafuta ajira Botswana ambako aliajiriwa na serikali ya Botswana kama mwalimu kweny chuo cha kilimo huko Serowe.

Mathayo anadai kwa mwaka huo huo alianza digrii ya MSc 1998-2001, halafu PgDip (2000-2001), na PhD (2001-2003). Watu wengi wanaomfahamu ikiwa ni pamoja na waalimu wake wa SUA wanashangaa Mathayo aliwezaje kusomea vyeti vyote hivyo kwa muda wa miaka mitano huku akifanya kazi kama mtumishi wa serikali Botswana? Pia kashfa kwamba alikuwa akipokea mishahara miwili ya uwaziri na utumishi wa serikali ya Botswana haijajibiwa hadi leo.

Source: Waliosoma nae.
Akiwa Itende JKT alikuwa assistant PEO(political education officer) na alikuwa mnoko sana.
 
Yaani ni ajabu, leo kabla ya kurudi nyummbani jioni, tulikuwa tunajadili hayo uliyoyaandika. Kuna kijana anayetoka Same karibu na familia ya David Mathayo alitueleza mambo mengi yanayofafa na haya.

Kuna binti aliwahi kureseat masomo ktk centre yangu anadai ni mtoto wa David Mathayo lakini leo nikaambiwa David hana mtoto mkubwa aliyemaliza F. IV;

Tutamfahamu

Sir R nafikiri atakuwa na mtoto mkubwa maana pale Itende alimpa mimba binti mmoja wa Kinyakyusa kama sikosei anaitwa Unosye.(kumbukumbu zangu zinanipeleka huko)
 
  • Thanks
Reactions: GP
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom