Mimi haka ka Kafulila ukikaangalia tu unaona ni kajitu fulani kanafiki n kapenda madaraka sana.Sasa hebu tafakari alichoongea, sidhani kama amefikiria hata ameongea nini.Kafulila na Zitto lao ni moja, wanadhani huyo rais atapigiwa kura na kigoma 2? Unaposema kigoma tumeonewa sana sasa inamaana huyo Rais atachaguliwa ili kulinda maslahi ya kigoma 2 na vipi sisi wa tabora tumtoe rais wetu? Pia unasema nchi ya malyasia na S.A kuwa wanataka Zitto awe Rais inamaana sisi wenye hatuwezi kuchagua mtu wetu mpaka wao watuchagulie? Hapa ndipo napopata tabu juu ya viongozi wetu vijana tuliodhani kuwa ni wakombozi nadala yake kumbe ni wachumia tumbo tu na wanazidi kutuondelea imani sisi vijana wenzao mbele ya jamii.
Naanza kuamini nilichokuwa nahisi....KIGOMA HAIAMINIKI! Sio mbaguzi, lakini tangu alichokifanya kabouru(samahani kwa kukosea kuliandika) na anayoyafanya Zitto na Kafulila.....naanza kuamini kuwa hisia zangu zilikuwa/ziko sahihi!
kha ndugu kafulila kweli umefulia.raisi wa tz hapatikani kwa kuangalia umri,jinsia,kabila wala umkoa,shame upon u.
Lazima Pasco aipitie hii, akisikia hivyo ndo anachanganyikiwa kabisa!
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"
----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
Hakuna kitu kinachonifanya nimdharau mtu hata kama ana umri gani au msomi wa calibre gani anapotamta suala la ukabila na Udini....Hii ni tabia chafu sana! Watu wanaongelea umajumui wa Afrika huku tunaongelea umajumui wa makabila na dini.We are funny creatures!Itafikia pahala watu wa kaskazini watajiuliza kama ni kosa kwao kuwa watanzania!Kama ni kweli kuna watu wanaamini kuwa uongozi/urais hautakiwi kutokea kaskazini,yani kwamba hawakubali mtawala wa kaskazini,kutakuwa na ubaya gani kama watu wa kanda nyingine nao wakikataa kutawaliwa na watu wasiokuwa wa kanda yao?Mi naona haina haja ya kugombana,Kigoma chagueni rais wenu,Mbeya wafanye hivyo etc etc.Ni unafiki kwa wanaojiita watanzania kutoa kauli kama hizo.Hakuna haja ya kujiita mtanzania kama kuna watu wa kanda flani unaowaona si watanzania.
Ni kweli kabisa mkuu huyu jamaa hafai tena hafai.....Kama tunataka balaa basi turuhusu Rahis atokee Kigoma!
Natangaza rasmi, Kigoma wote ni wahamiaji haramu!
Zitto mwenyewe M-Bembe sasa itakuwaje tutawaliwe na Mhamiaji kutoka Goma? Wasituchanganye hawa. Leo jamaa katangaza Nia, uwezo na uzalendo wa kuwa amiri jeshi mkuu anao na hana mashaka navyo vyote hivyo!!
Kaaaaaaaazi kweli kweli!!!
Mimi haka ka Kafulila ukikaangalia tu unaona ni kajitu fulani kanafiki n kapenda madaraka sana.Sasa hebu tafakari alichoongea, sidhani kama amefikiria hata ameongea nini.
Hata 2010 miongoni mwa wagombea urais alikuwemo aliyetoka Kigoma. Jamani, mwacheni tu yeyote agombee, maana ni haki ya kila mtanzania kama anakidhi vigezo. Uamuzi wa kumchagua au kutomchagua ni wa wapigakura.
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"
----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"
----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao.
----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
Hawa ndio aina ya wanasiasa vijana tunaojivunia? Ndio marafiki(wasemaji?) wa Zitto tunayeaminishwa anao uwezo wa kuwa Rais! Hawawezi hata kufikiria zaidi ya mikoa/makabila yao! Juzijuzi nilisikia ule wimbo wa kigoma ulioimbwa na wasanii kadhaa 'wanaotokea'/'wenye asili' ya kigoma....nilidhani ni kitu cha kupuuzia tu/burudani tu kumbe kuna 'kigoma' injiandaa kuchukua nchi!maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"
Sasa mbona hamueleweki mara maneno yaliongelewa kigoma mara sinza....uupuzi mtupu yaani kuanzia kafulila hadi zito wote ni waroho wa madaraka hawafai kabisa waogopeni kama ukoma