Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Hili igizo tamu sana, lakini chungu. Dr. Slaa na kikaa walimuamuru Kufulila kuomba radhi na kukanusha hizo taarifa. Jamaa akakataa wewe ungekuwa maneja na mtumishi anakataa maagizo ya kikao ungefanyaje?
Ningemfuta kazi mara moja