Gwota
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 205
- 92
Wote tunakumbuka vuguvugu la kafulila kutaka kumuangusha mbatia kwa vigezo vyake vya msingi ikiwemo kesi ya Mdee,
Pamoja na kwamba CHADEMA ni wajanja na wametumia upenyo huo kujipenyeza na kuwarubuni NCCR kufuta kesihii, CHADEMA wamejifanya wanasaini makubaliano feki ili mradi tu malengo yao yatimia, Ni nani asiyejua makubaliano hayo hayawezi kudumu? ni ni nani asiyeamini mbatia kuwatupa ccm hawezi na chadema hawawezi ku-entertain upuuzi huo? ama kweli chadema ni zaidi ya uijuavyo, sio siri msukumo wa kafulila hauwezi kuacha kudhaminiwa ktk hili.
Pamoja na kwamba CHADEMA ni wajanja na wametumia upenyo huo kujipenyeza na kuwarubuni NCCR kufuta kesihii, CHADEMA wamejifanya wanasaini makubaliano feki ili mradi tu malengo yao yatimia, Ni nani asiyejua makubaliano hayo hayawezi kudumu? ni ni nani asiyeamini mbatia kuwatupa ccm hawezi na chadema hawawezi ku-entertain upuuzi huo? ama kweli chadema ni zaidi ya uijuavyo, sio siri msukumo wa kafulila hauwezi kuacha kudhaminiwa ktk hili.