David kafulila aibeba chadema

Gwota

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
205
92
Wote tunakumbuka vuguvugu la kafulila kutaka kumuangusha mbatia kwa vigezo vyake vya msingi ikiwemo kesi ya Mdee,
Pamoja na kwamba CHADEMA ni wajanja na wametumia upenyo huo kujipenyeza na kuwarubuni NCCR kufuta kesihii, CHADEMA wamejifanya wanasaini makubaliano feki ili mradi tu malengo yao yatimia, Ni nani asiyejua makubaliano hayo hayawezi kudumu? ni ni nani asiyeamini mbatia kuwatupa ccm hawezi na chadema hawawezi ku-entertain upuuzi huo? ama kweli chadema ni zaidi ya uijuavyo, sio siri msukumo wa kafulila hauwezi kuacha kudhaminiwa ktk hili.
 
ujeyaona hayo makubaliano?
Umeyasoma?
Una uhakika gani kama ni feki wakati hata utekelezaji bado?
 
CDM ipo kutoa elimu ambayo watanzania tuliikosa kitambo na pale watu wanapopata kuijua kweli uhungama kwa yale yote wamewakwaza watanzania...naomba kuthibitisha hili,CDM ilitoa elimu kuhusu umuhima wa kuwa na katiba mpya kwa ufanisi mkubwa Jk akaikubari kweli na ndio maana uwamuzi wake haumo ktk ilani ya uchaguzi wa chama cha magamba,CDM walipinga kuburusha na CCM katika mchakato wa katiba wakabezwa na watanzania wa kada zote,leo mawazo yao yamekuwa lulu ambayo yanaelekea kukigawa chama cha magamba...pana usemi usemao"if u can't defite them join with them" MBATIA NI MSOMI AMBAYE ALIKUWA AMEKENGEUKA KWA CHEAP POPULALITY NA SASA AMAIJUA KWELI NA ANATAFUTA TOBA YA KWELI SO 4 ME I DONT SUPLISED AKIKUBALIANA NA CDM YALE AMBAYO ALIKUWA AMEMEZESWA KWA MASLAI TUMBO...BIG UP CDM KUMBADILI JK MPAKA KUKOSANA NA WENZAKE MAGAMBA,KUMLETA KUNDINI MBATIA
 
Wote tunakumbuka vuguvugu la kafulila kutaka kumuangusha mbatia kwa vigezo vyake vya msingi ikiwemo kesi ya Mdee,
Pamoja na kwamba CHADEMA ni wajanja na wametumia upenyo huo kujipenyeza na kuwarubuni NCCR kufuta kesihii, CHADEMA wamejifanya wanasaini makubaliano feki ili mradi tu malengo yao yatimia, Ni nani asiyejua makubaliano hayo hayawezi kudumu? ni ni nani asiyeamini mbatia kuwatupa ccm hawezi na chadema hawawezi ku-entertain upuuzi huo? ama kweli chadema ni zaidi ya uijuavyo, sio siri msukumo wa kafulila hauwezi kuacha kudhaminiwa ktk hili.

Imejaa ushabiki badala ya Logic, Too bias
 
Wote tunakumbuka vuguvugu la kafulila kutaka kumuangusha mbatia kwa vigezo vyake vya msingi ikiwemo kesi ya Mdee,
Pamoja na kwamba CHADEMA ni wajanja na wametumia upenyo huo kujipenyeza na kuwarubuni NCCR kufuta kesihii, CHADEMA wamejifanya wanasaini makubaliano feki ili mradi tu malengo yao yatimia, Ni nani asiyejua makubaliano hayo hayawezi kudumu? ni ni nani asiyeamini mbatia kuwatupa ccm hawezi na chadema hawawezi ku-entertain upuuzi huo? ama kweli chadema ni zaidi ya uijuavyo, sio siri msukumo wa kafulila hauwezi kuacha kudhaminiwa ktk hili.

mbona mimi najua! mbona mimi naamini!
 
Tulijua lazima magamba wataongea sana tena kwa ushahidi bubu wa kubuni ilimradi tu kuitia dosari hatua ya kipekee waliofikia cdm na nssr. Mbatia kapima mkondo wa maji kaona magamba wanazama bora aogelee kwa mgongo wa cdm
 
Wote tunakumbuka vuguvugu la kafulila kutaka kumuangusha mbatia kwa vigezo vyake vya msingi ikiwemo kesi ya Mdee,
Pamoja na kwamba CHADEMA ni wajanja na wametumia upenyo huo kujipenyeza na kuwarubuni NCCR kufuta kesihii, CHADEMA wamejifanya wanasaini makubaliano feki ili mradi tu malengo yao yatimia, Ni nani asiyejua makubaliano hayo hayawezi kudumu? ni ni nani asiyeamini mbatia kuwatupa ccm hawezi na chadema hawawezi ku-entertain upuuzi huo? ama kweli chadema ni zaidi ya uijuavyo, sio siri msukumo wa kafulila hauwezi kuacha kudhaminiwa ktk hili.

Haikuwa logic katika mazingira ya vyama vichanga vya upinzani Tanzania kwa NCCR kukata rufaa kupinga kiti kilichobebwa na Chadema. Mbatia kidogo aliyumba katika hili, especialy given the fact that sera ya sasa ni kupeleka wanawake wengi bungeni kupitia majimbo. Ushindi wa Mdee ungebatilishwa tu, CCM wangelichukua jimbo la kawe kiurahisi sana.Ni muhimu kuacha upinzani ukomae ili CCM iwe makini zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom