Me naona jamaa alichemka kumuita mwenzake sisimizi, lakini najua kwaajili kasema Dr Slaa watu mtakaa kimya.Hapo ndipo sometimes naona kuna Bias miongoni mwetu katika kuchangia mada.
Teh teh teh,
Mkuu Semenya muda mwingi huwa unanifurahisha sana. Ukinipa nafasi nitaleta posts zako kama dazani kadhaa hivi ambazo unalalamika sana kuwa wana JF hawafanyi kama unavyotaka.
Ukitaka mass support hapa mkuu, utalala mlango wazi (na kuruhusu sisimizi kibao waingie kwenye nyumba yako .... lol) if you get my rhaim.