Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,922
- 6,007
Star tv haipatikani kwenye dishi langu. Nifanyeje wandugu.?.
Tulia, tutakujuza kinachoendelea.
Star tv haipatikani kwenye dishi langu. Nifanyeje wandugu.?.
Kafulila wewe ni muungwana ,nikiangalia tofauti ya Mada ya week iliyoisha kati ya viongozi wa NCCR Mageuzi kwanza walikuwa wakiongea kwa Jazba kubwa wakikukandamiza na wewe kuonekana unamakosa makubwa mtovu wa nidhani na kila lawama kwako ,Lakini kwako imekuwa tofauti unaongea kwa umakini bila kumchambua mtu yoyote vibaya na umesimamia kwenye point zaidi ,.. all the best mie ni msikilizaji na imani haya malumbano yenu yataisha na ujipange vyema sasa
ritz, Rejao, Faiza Fox,mafiriri, Pasco .....................mkifukuzwa usalama wa CCM mtakuwa radhi kuirudishia TANU uhai wake?Swali kwa Kafulila, NCCR Mageuzi, wakikusamehe upo radhi kurudi?
Yahya,
Hongera kwa kipindi kizuri lakini huku kwetu Mugumu hatuwapati kabisa, rekebisheni kama kuna tatizo mzee........
Habari za JUMAPILI wanaforum,
Tumefanya mabadiliko kidogo katika muendelezo wa vipindi hivi kujadili na kusaidia kutanzua Migogoro ya kisiasa NCHINI na wimbi hili la fukuzafukuza. Badala ya kuwa kwa pamoja David Kafulila na Moses Machali Leo, tumeonelea ni vela haki waliyoipata Vongozi tu ilkuwa nao JUMAPILI iliyopita, anastahili ndugu Kafulila pia ili KUTOA wigo mpana kwa watanzania kujadili vema na kupendekeza njia mbadala kupitia media.
Kafulila atazungumza na watanzania mud a si mrefu, Maswali tuliyoyahifadhi wiki iliyopita tu Shari za hadi JUMAPILI ijayo tukifanikiwa kuwaweka meza Moja pande zote mbili.
Karibuni katika mjadala