Kipre tchetche
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 238
- 40
Ni kweli kwa upande mwingine ni matusi makubwa kwa bara letu la africa na hasa kwetu watanzania.
Lakini kwa upande wa pili hawa wafadhili huenda
Wamewachoka watawala wetu wameona ili wajue au waanze kujitegemea watoe masharti ya kuwadhalilisha nchi zao ili waone umuhimu wa kutunza raslimali walizonazo .mfano tanzania.ina Madini ya aina muumuu muhimu,mbuga za Wanyama makaa ya mawe,gase na mabonde mito ya ajabu milima ya ajabu kwa viongozi nakini
Hakukuwa na ulazima wowote Kama raslimali hizi zingetunzwa na mapato yale yote yakaingizwa kwenye bajeti ya serikali na kuzuia ufisadi sisi tusingekuwa ombaomba na tungeepuka masharti Kama haya.
Lakini wanazazimika kutoa masharti haya Kama funzo wao
Wamejibana wamekusanya kodi za wananchi wao wametekeleza mambo muhimu ya wananchi wao
Nabado na wanawapa misaada inayotokana na kodi za wananchi wao ninyi zenu mnazifanyia ufisadi Na wakiwapa misaada Yao mnafanya nazo matanuzi
Mbona baada ya maneno ya cameroon Uganda imetangaza kuchimba mafuta na wamesema hawatahitaji tena misaada nawatakomesha ufisadi
Tanzania inalialia nini mafisadi wanahela kuliko hata wafadhili wao walizipata wapi? Wanyama wanatoroshwa ,madini yanaibiwa,maliasili zote zinahamishwa na kumilikishwa mafisadi Leo mnawalaumu wafadhili kuwa wanawapa masharti ya kuwadhalilisha .kumbe wafanyeje ninyi ni matajiri pesa zenu mnanunulia mabom ya machozi
Na kugawana posho na kuzururia kote dunia .wakati wanafunzi wa vyuo vikuu wanakosa mikopo
Watanzania wanakaa gizani wakati vigogo wanamiliki trillion tatu MRI mmoja.kwahio sio matusi ni mafunzo kwani unalazimishwa na nani kuomba msaada wakati unafuja na kwanini wakupe masharti mepesi wakati wameona uthaifu wako upo ktk matumizi.mi naona cameroon amesema ili tuliolala tuamke tulinde uchumi wetu. Mwenyezi Mungu alipoiumba Tanzania aliumba pia wafadhili wa Tanzania
Ambao ni madini yote bahari mbuga za Wanyama ,misitu,gase,na kilautajiri tulionao tutunze tusikimbilie kusema katutukana nini kilikupeleka kwake? Asante Cameroon labda tutaamka .
Lakini kwa upande wa pili hawa wafadhili huenda
Wamewachoka watawala wetu wameona ili wajue au waanze kujitegemea watoe masharti ya kuwadhalilisha nchi zao ili waone umuhimu wa kutunza raslimali walizonazo .mfano tanzania.ina Madini ya aina muumuu muhimu,mbuga za Wanyama makaa ya mawe,gase na mabonde mito ya ajabu milima ya ajabu kwa viongozi nakini
Hakukuwa na ulazima wowote Kama raslimali hizi zingetunzwa na mapato yale yote yakaingizwa kwenye bajeti ya serikali na kuzuia ufisadi sisi tusingekuwa ombaomba na tungeepuka masharti Kama haya.
Lakini wanazazimika kutoa masharti haya Kama funzo wao
Wamejibana wamekusanya kodi za wananchi wao wametekeleza mambo muhimu ya wananchi wao
Nabado na wanawapa misaada inayotokana na kodi za wananchi wao ninyi zenu mnazifanyia ufisadi Na wakiwapa misaada Yao mnafanya nazo matanuzi
Mbona baada ya maneno ya cameroon Uganda imetangaza kuchimba mafuta na wamesema hawatahitaji tena misaada nawatakomesha ufisadi
Tanzania inalialia nini mafisadi wanahela kuliko hata wafadhili wao walizipata wapi? Wanyama wanatoroshwa ,madini yanaibiwa,maliasili zote zinahamishwa na kumilikishwa mafisadi Leo mnawalaumu wafadhili kuwa wanawapa masharti ya kuwadhalilisha .kumbe wafanyeje ninyi ni matajiri pesa zenu mnanunulia mabom ya machozi
Na kugawana posho na kuzururia kote dunia .wakati wanafunzi wa vyuo vikuu wanakosa mikopo
Watanzania wanakaa gizani wakati vigogo wanamiliki trillion tatu MRI mmoja.kwahio sio matusi ni mafunzo kwani unalazimishwa na nani kuomba msaada wakati unafuja na kwanini wakupe masharti mepesi wakati wameona uthaifu wako upo ktk matumizi.mi naona cameroon amesema ili tuliolala tuamke tulinde uchumi wetu. Mwenyezi Mungu alipoiumba Tanzania aliumba pia wafadhili wa Tanzania
Ambao ni madini yote bahari mbuga za Wanyama ,misitu,gase,na kilautajiri tulionao tutunze tusikimbilie kusema katutukana nini kilikupeleka kwake? Asante Cameroon labda tutaamka .