Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
afu sasa muangalieni Gordon Brown naye...
Ingawa Conservatives wako tough kwa imigrants lakini wako fresh kwenye mambo ya uchumi nawakubali.
Thibitisha hilo kwa takwimu na ithibati nyingine.
Sarah Brown amekaa sana Tanzania!
Unataka nikutafunie kila kitu? Ni nani asiyejua kwamba Kichaka alikuwa bomu. Pamoja na kuwa na Senate na Congress chini yao (conservatives) lakini waliharibu kila kitu na kuiacha nchi ikiwa hoi bin taabani. Data ziko kibao hebu zitafute utaona ninachosema ni kweli tupu badala ya kutaka nikutafunie kila kitu.
Wewe umesema hali wakati wa Kichaka ilikuwa mbaya haijawahi kutokea. Sasa mimi nimekuomba utoe ithibati ya hiyo kauli yako. Sijakuomba unitafunie. Nimeomba unioneshe kwa malinganisho. Is that too much to ask for? Kama huna ithibati sema tu na wala usiogope.
Hata historians wa America wanadai kuna uwezekano kwamba jamaa akachukua title ya the worst president katika historia ya Marekani, akipona atachukua namba mbili. Data za kuthibitisha kauli yangu ziko chungu nzima hata mtoto wa darasa la saba anazijua na mimi siko tayari kabisa kukutafunia kama hujui wapi pa kuzipata basi hilo ni tatizo lako.
...tena bomu la nguvu kweli,kuanzia stupid war,record deficit,unemployment,poverty,civil rights violations and mother of all great depression,punguza kusikiliza hannity & fat Rushbo unaweza kuwa na akili kidogo!
Unemployment rate wakati wa Carter ilikuwa kiasi gani?