David Cameron amemnunulia mkewe gari iliyotumika

amanimaendeleo

JF-Expert Member
Oct 29, 2015
251
75
David Cameron kiongozi wa taifa la Uingereza taifa lenye uchumi wa tano kwa ukubwa duniani amemnunulia mke wake gari iliyotumika (used) aina ya Nissan micro yenye dhamani ya dola 2000 kwa ajili ya matumizi yake.

Tunajifunza nini hapo waafrika na viongozi wetu?

Tunajifunza kuwa nidhamu ya uongozi na uaminifu wanajali sana wenzetu.

Chanzo: Habari CNN
 
Bei Kubwa sana hiyo Mimi Hata Sina hiyo Pesa...

Ajue hata akija Tanzania atapandishwa GAri Used lililopandwa na Raisi wa Vietnam na Raisi wa Sudan kusini
 
mkewe ndiye huyu????

British-Prime-Minister-David-Cameron-R-and-wife-Samantha.jpg
 
Masikini anazidi kuwa masikini, sababu ya kutaka kuishi kitajiri wakati tajiri anazidi kuwa tajiri sababu ya kuishi kimasikini/kawaida
 
Mi nikajua jamaa kaoa shoga

Kwani..huyo huwenda ni first lady ama ni photoshop, wapili ndiye SHOGA,

kwao ni kawaida sana..huku anamshuulikia shoga na kule lady wake siku zinaenda! Washapata laana hawa viumbe
 
Mi nikajua jamaa kaoa shoga

Kwani..huyo huwenda ni first lady ama ni photoshop, wapili ndiye SHOGA,

kwao ni kawaida sana..huku anamshuulikia shoga na kule lady wake siku zinaenda! Washapata laana hawa viumbe
 
Back
Top Bottom