Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

MFANYABIASHARA KIJANA DAUDI KANYAU AMEJENGA MSIKITI NA KITUO CHA WATOTO YATIMA-MKOA WA PWANI !!! HUU NI MFANO WA KUIGWA KWA VIJANA TUNAPOPATA MAFANIKIO KUJARIBU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTOA SADAKA






Tulianza kwa kutembezwa, hii ni sehemu ya watoto yatima watakaolelewa hap, idadi yake ni 40 tu!!​
Hii ni nyumba ya Daudi....!!​


Kwa ndani​
DSC_0646.JPG
Hii ni servant quarter​
Parking ya magari​
Nyumba ya bi mkubwa, mama yake Daudi​
Kwa ndani​
DSC_0648.JPG
kwa ndani​
kwa nje​
ukuta embu ona kwa karibu!!!​
Nilipenda sana kichuguu eeh!!​
huu ndio msikiti....!!​
Kisima kwa ajili ya kutawadha!!!​
Nyumba ya Imamu wa msikiti!!





Daudi akiwahudumia wageni!!!


Faiza. Daudi, Phares & Tanisa


Dad's Daughter


Daudi na watoto wake wapenzi!!!, awali awali hakuna mbovu!!!

Kama huyu ni kijana basi skendo ya miss Tanzania haina maana
 
Allah amzidishie kama kapata kwa njia halali,ila kakosea kutangaza na picha juu!!!
 
tatizo sasa ile bidhaa anayouza inazalisha mateja kibao mtaani...full majanga
 
Drug dealer,namfahamu vizuri na mfuatilie asijewageuza hao watoto punda.Hutaki unaacha sio lazima uamini.
 
huo msikiti bora angejenga shule atatuongezea magaidi huyo.

Kujenga shule is not an issue, mbona zipo nyingi tu, issue ni kuisimamia mkuu, shule ngapi zipo lakini ni bogus tupu ?
Hata huo mradi alioujenga utasema pia unataka usimamizi,ni kweli lakini sio kama shule, wafanyabiashara wanaelewa umuhimu sana wa kujenga shule lakini wakifikiria suala la usimamizi / proper management ndio linawavunja nguvu..na ukisema ujenge then uikabidhi kwa wataalam bila wewe mwenyewe kufuatilia matokeo yake ni utakuwa umepoteza rasilimali yako kuwanufaisha wengine na matokeo ni zero minus.. live example at Savannah Int"l School in Shy.
Huyu jamaa ana akili zake timam, ajenge shule bila kuwapa mafunzo ya kiimani ya kumugopa MOLA wao ? ili iweje ? ikazalishe mafisadi ? Hiyo itakuwa ni sadaka au down the drain ??
 
Hadi wauza Unga wanabarikiwa Siku hizi!!!

Na hao watoto yatima kawajengea ili awageuze punda wake....
Mimi sijui kama ni muuza unga!Ahsante kwa kunijuza nimempa baraka kwa wema wake kama mwanaadamu mwengine yoyote!
 
mungu kakataza kwa kila jema utakalolifanya kwa niaba ya watu/mtu kwa ajili yakumsaidia haupaswi kujitangaza sasa hili ndo kosa la jamaa
 
Kisa kuna msikiti ndo yote mnaongea kwa hz chuki mlizonazo mbeleni usalama hakuna
 
mambo km haya km umefanya hili upate malipo kwa mungu haitakiwi kujitangaza hila huyu amejenga hili apate sifa katika jamii basi kwa mungu hana chake maana kajenga apate sifa kashapata hila angejenga kwa ajili ya malipo kwa mungu asingejitangaza.hongera sana daudi kwa msaada wako umetumia hela nyingi hila mbele ya mungu huna kitu bro.unaambiwa ukitoa msaada kwa mkono wa kulia wa kushoto usijue
 
Back
Top Bottom