TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,749
- 21,200
anafanya Biashara gani....?
Do nimependa hili:
Kati ya maswali ya msingi hili swali halitapata jibu sawia, ngoja tuone...!!.
anafanya Biashara gani....?
MFANYABIASHARA KIJANA DAUDI KANYAU AMEJENGA MSIKITI NA KITUO CHA WATOTO YATIMA-MKOA WA PWANI !!! HUU NI MFANO WA KUIGWA KWA VIJANA TUNAPOPATA MAFANIKIO KUJARIBU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTOA SADAKA
Tulianza kwa kutembezwa, hii ni sehemu ya watoto yatima watakaolelewa hap, idadi yake ni 40 tu!!Hii ni nyumba ya Daudi....!!
Hii ni servant quarterParking ya magariNyumba ya bi mkubwa, mama yake DaudiKwa ndanikwa ndanikwa njeukuta embu ona kwa karibu!!!Nilipenda sana kichuguu eeh!!huu ndio msikiti....!!Kisima kwa ajili ya kutawadha!!!
MtanzanikaYeye kaanza na makazi ya watoto yatima..wewe kajenge shule sasa.
huo msikiti bora angejenga shule atatuongezea magaidi huyo.
allah ambariki ..mashallah...
Mimi sijui kama ni muuza unga!Ahsante kwa kunijuza nimempa baraka kwa wema wake kama mwanaadamu mwengine yoyote!Hadi wauza Unga wanabarikiwa Siku hizi!!!
Na hao watoto yatima kawajengea ili awageuze punda wake....