jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Kaka hakuna sifa kwenye masuala ya kifo! Kama kafa ni kafa tu. SIRI SIRI SIRI mean nothing when things will be out in no time.
BTW: Ngoja nifatilie wapi mwili ulipo
Mkuu itakuwa ni jambo la maana sana kama ni kweli kwasababu wewe unaheshimika hapa JF na hivyo hatuwezi kuona sababu za kudoubt taarifa zako!